Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

Ama kweli kila mtu na starehe yake.

Mie nishazoea kulala nyuma ya matako, nikilala pekee yangu usingizi ni wa maruweruwe tu, mara niote fisi kala mguu wangu, mara niote nakojoa ub00 umekatika umedumbukia kwenye sink na imeuflash.

Lakini nikilala na mama watoto, alalie kifua, au nilale nyuma ya matako, dah.. Nasahau kama kibanda changu cha makuti kinavujisha.
[emoji23][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dah mm ndio nimepitia Mengi maana Kuna mwingine alikuwa analala Kwa kujitawanya miguu everywhere,mwingine nlikuwa nkilala nae nikiamka lazima nikute uso mwekundu na unauma,nadhani alikuwa ananizabu usingizini.

Japo na mm walikuwa wananisema nakoroma na kuvurumisha mabomu ya Hamas ila hapana kwakweli kulala pamoja daile ni jau.
 
Back
Top Bottom