Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlipo kuna joto sana nini? Washeni feni tena mi napenda ile nimelala nikishtuka nikute mkono kiunoni au kifuani ama namgusisha kota kwenye dick yake basi ndo maana halisi ya wapenzi
Wacha niendelee kuenjoy my golden chance😃😅Uko vizurii mzee mama
We ni team CHAPUTA?Tafuta mwanamke mwenye matako. Sio kugandiana tu, utamla usiku kucha kila siku.
Sio unakuja hapa mwanamke mwenyewe mbavu za mbwa unaleta story sizo hapa.
Hapana, mgandamizo katika kifua kwamuda mrefu inawezakua changamoto,Pumu? Inatokana na kulaliwa kifuani?
Kwani mm ni gogo kwamba nikilala kifuani kwake badae sitajigeuza?
Mahaba wakati wa kulala ni somo muhimu lakini halifundishwi.Hili suala la kugandiana na mwanamke usiku wakati wa kulala kiukweli limenishinda maana nashindwa kabisa kupata usingizi.
Nishazoea kila mtu alale upande wake tena kila mmoja na shuka yake, masuala ya kushare shuka moja pia siyawezi.
At the end naambiwa siko romantic!
Mnaoweza haya mambo hebu tuambieni huwa mnafanyaje?
It's pain full 🌕🌝🌝🌕🌝 😂😂😂😂🤣🤣🤣😁😁😁😊😊☺️☺️Hili suala la kugandiana na mwanamke usiku wakati wa kulala kiukweli limenishinda maana nashindwa kabisa kupata usingizi.
Nishazoea kila mtu alale upande wake tena kila mmoja na shuka yake, masuala ya kushare shuka moja pia siyawezi.
At the end naambiwa siko romantic!
Mnaoweza haya mambo hebu tuambieni huwa mnafanyaje?
Mi si timu chaputa. Nina mke mzuri na Amenizalia, na namganda usiku kucha.We ni team CHAPUTA?
Du basi wewe ni hatari. Inaonekana umri wako bado mdogo. Wewe ni KE au ME? Mimi nilikuwa na hilo tatizo zamani nilipokuwa mdogo (nimegundua watu wengi huwa hivyo wanapokuwa wadogo lakini wakiwa watu wazima wanaacha). Kuna mdada mmoja alikuwa kwenye 20s yeye alikuwa anacheza kung fu.. Jamaa kalala naye siku moja nikasikia usiku kilio ''mamaa''. Kumbe ni yule dada amejiviringisha na kugeuka, halafu akarusha teke likampa kidevuni. Na haya yote alikuwa anafanya huku amelala fo fo fo.Mimi nikilala mashariki asubuhi najikuta naamkia kusini asa sijui ataweza🤔🤣🤣🤣😓
Kijana hajui ule msemo.Kwa hiyo hujui raha ya kubadilishana joto?
Huna uzoefu wa kukumbatia huku umegeuziwa wesere? Aaaah
Cuddling doesn't mean that
Heri umesema😋😂Ngoja kwanza nicomment chochote kisha nirudi kusoma uzi.
Haki ya Mama nimecheka sana na hiyo title.. kwamba wanalala kwa kugandiana??
Broo ni raha sanaa
Kulala umejilaza kifuani mwa mtu 😍
Aisee!😃Mahaba wakati wa kulala ni somo muhimu lakini halifundishi.
Mahaba yanaanzia chumba kiweje, kitanda kikae vipi, mke alale amegeukia wapi na mume alale upande upi. Hayo yote yanapaswa kuwa considered kwenye design ya chumba cha kulala.
Kwenye kulala, kiafrika hakuna kitu kinaitwa night dress, bali ni kila mtu anabaki alivyozaliwa isipokuwa mke akiwa anashuhudia simba anachezea 5-1 dhidi ya yanga ndo analala amejistetiri asichafue mashuka.
Hiyo ndo tafsri ya kuambiwa karibu chama cha walala uch.
Mlalapo mnahakikisha hakuna kizuizi baina yenu siyo nguo wala mtoto. Mume ndo anatakiwa akumbatie, tena dushe liegemee tauko.
Faida ya shuka moja kiroho ni kuwakinga wenzi wasitembelewe na jini mahaba wakiwa usingizini.
Mengine muwe mnauliza wakubwa, kuuliza siyo ujinga.
Usiku utaisha hivyo mama mwenyewe hapa kitandani😋🤣🤣🙌
Umeanza
Hadi kushea shuka huwezi?? Huyo mke ulilazimishiwa au 😂😂Nishazoea kila mtu alale upande wake tena kila mmoja na shuka yake, masuala ya kushare shuka moja pia siyawezi.
At the end naambiwa siko romantic
🤣🤣🤣Du basi wewe ni hatari. Inaonekana umri wako bado mdogo. Wewe ni KE au ME? Mimi nilikuwa na hilo tatizo zamani nilipokuwa mdogo (nimegundua watu wengi huwa hivyo wanapokuwa wadogo lakini wakiwa watu wazima wanaacha). Kuna mdada mmoja alikuwa kwenye 20s yeye alikuwa anacheza kung fu.. Jamaa kalala naye siku moja nikasikia usiku kilio ''mamaa''. Kumbe ni yule dada amejiviringisha na kugeuka, halafu akarusha teke likampa kidevuni. Na haya yote alikuwa anafanya huku amelala fo fo fo.