Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika amempongeza Freeman Mbowe kwa kugharamia shughuli zote za Uchaguzi CHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kumsahau Abduli pesa, yake ilikuwa kichocheo cha huu uchaguzi kufana🐼Nampongeza Rostam Aziz kwa ukarimu 🐼
umefika MUDA wa kujengwa na wananchi ....harafu tuone nizama zipi sahihiNo doubt Mbowe amekijenga hiki chama hii haiwezi tukaipinga. Mungu ambariki katika maisha yake ya ustaafu
Siyo rahisi kama unavyofikiria 🐼Ndo muda wa mbowe kuwa sponsor wa chama
Ni sehemu ya majukumu yake! Sasa chama kinapaswa kutoka kwenye huo mkwamo wa kumtegemea mtu mmoja!Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika amempongeza Freeman Mbowe kwa kugharamia shughuli zote za Uchaguzi CHADEMA
Huyo mchaga atoe pesa yake kirahisi, ngoja tuone.Ndo muda wa mbowe kuwa sponsor wa chama
Wadau wanatoa kama marehemu Sabodo, tuu.Hao wadau waliochangia ni akina nani na waliwapa mashart gani ??
Haswaaaa hapa sasa ana nafasi nzuri sana ya kumwaga mijipesa chamani, sio kipindi akiwa mwenyekiti.Ndo muda wa mbowe kuwa sponsor wa chama
Utakichangia chama chetu kwa moyo mmoja.Muda wa CDM kufunga mkanda😂,
Watanzania ukiwaomba fedha mara mbili wanakuchoka fasta
Nampongeza Rostam Aziz kwa ukarimu 🐼
Akili nyingine bana ,huyu Mzee Mbowe si ndio anatemezaga bakuli kwa ajili ya kujenga kanisa kule machame?Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika amempongeza Freeman Mbowe kwa kugharamia shughuli zote za Uchaguzi CHADEMA