Pre GE2025 Mnyika ampongeza Mbowe kwa kugharamia shughuli zote za Uchaguzi CHADEMA

Pre GE2025 Mnyika ampongeza Mbowe kwa kugharamia shughuli zote za Uchaguzi CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Baraza Kuu CHADEMA lashindwa kuendelea na mikutano yake kutokana na team Lissu kushindwa kulipia ukumbi wa mlimani city, Wajumbe wameanza kumkumbuka Mbowe mapema sana.

Inasemekana wanatafuta Ukumbi wa bei rahisi kwa muda huu.
Umbea, tukuvalishe shela?
 
Baraza Kuu CHADEMA lashindwa kuendelea na mikutano yake kutokana na team Lissu kushindwa kulipia ukumbi wa mlimani city, Wajumbe wameanza kumkumbuka Mbowe mapema sana.

Inasemekana wanatafuta Ukumbi wa bei rahisi kwa muda huu.
Upo apo kwa shemeji yako baada ya kushiba ugali na magimbi umeamua kushikaa remote ya tv na bando la mia tano ukaamuaa uje uandike uku jf.
 
Chama kitajengwa na wananchi.

Wakati Julius kaacha ualimu hakuwa na pesa hata za kugharamia economy class ticket kwenda London,ila alifika vizuri tu.

Hatutaki biashara za kuinject pesa za rushwa au za mtu binafsi kwenye chama ili baadae mtu aanze utemi kwamb msinipinge sababu mimi natoa pesa zangu kugharamia shughuli za chama.

Kama hao kina Mbowe walikuwa ndani na watu walichanga Milioni 300 +ndani ya saa 24 ili wasifungwe itakuja kuwa gharama za ukumbi.
 
Changamoto ni kwamba amestaafishwa kwa lazima. Hii haipo sawa sana

Ushauri kwa Lissu, afanye fund mobilisation and wajenge ukumbi mkubwa na Ofisi haya mambo yafanyike huko, hiyo biashara ya kulipa mamilioni kugharamia ukumbi na meza haipo sawa. Bilioni 1 inaweza kujenga hivyo vitu watafute Mkandarasi mzuri tu au watumie Force Account 😅
Milion miatatu na kidogo zinaweza kujenga ukumbi wa kutoshea mikutano ya Chama

Tundu Lissu afanye hii
 
umefika MUDA wa kujengwa na wananchi ....harafu tuone nizama zipi sahihi
Kwa taarifa wanachama Chadema wanataka chama kitawafanyie nini sio wao wakifanyie nini
.Chadema inaenda kufa mikononi mwa lofa Lisu na timu lofa Lisu

Malofa akiwemo Lisu walipaishwa na Chadema kuwaka nyota zao kwa pesa ambazo hawakuwa nazo

Chadema inaenda kufa mikononi mwa Lisu

Mark my words .

Kufikia uchaguzi wa October 2024 Chadema itakuwa hoi bin taabani kifedha na uchaguzi itaingia ikiwa inachechemea

Hakuna uwezekano wa chadena kupata mbunge hata mmoja kwa uongozi huu wa malofa uliopo
 
Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika amempongeza Freeman Mbowe kwa kugharamia shughuli zote za Uchaguzi CHADEMA
Hiki chama kuna watu wamemwagwa pesa. Unamkumbuka marehemu Ndesa pesa ? Katika wafu waliojitolea katika nchi hizo ni wawili tu Marehemu Ndesamburo na Filikunjombe. Mpaka leo hoi hakuna wabunge waliofanya zaidi ya hao. Nasikitika sana kuona mbowe na Lowassa kuchezea hela kwenye siasa. Bora kuwekeza kwenye jamii na malipo yake utapata mara mbili. Hakuna mwanaludewa atakuvumilia ukisema vibaya Filikunjombe. Hakuna mchaga atakuelewa ukimchafua Ndesa mwana pesa.
 
Kwa taarifa wanachama Chadema wanataka chama kitawafanyie nini sio wao wakifanyie nini
.Chadema inaenda kufa mikononi mwa lofa Lisu na timu lofa Lisu

Malofa akiwemo Lisu walipaishwa na Chadema kuwaka nyota zao kwa pesa ambazo hawakuwa nazo

Chadema inaenda kufa mikononi mwa Lisu

Mark my words .

Kufikia uchaguzi wa October 2024 Chadema itakuwa hoi bin taabani kifedha na uchaguzi itaingia ikiwa inachechemea

Hakuna uwezekano wa chadena kupata mbunge hata mmoja kwa uongozi huu wa malofa uliopo
Chama kilishakufa walipokubaliana Lowassa kugombea urais. Wangegombania na Slaa 2015 uchaguzi ungenoga sana na malipo yake chama kungekuwa na nguvu mpaka leo. Mtu anaingia chamani leo na leo leo mnampa nafasi ya kugombea urais kupitia chama hicho.

Mbowe ana hela lakini akili hana. Chama cha siasa kinatakiwa liongozwe na mtu aliyeenda shule. Sasa unakuwaje na mwenyekiti hana Degree.
 
Kwa taarifa wanachama Chadema wanataka chama kitawafanyie nini sio wao wakifanyie nini
.Chadema inaenda kufa mikononi mwa lofa Lisu na timu lofa Lisu

Malofa akiwemo Lisu walipaishwa na Chadema kuwaka nyota zao kwa pesa ambazo hawakuwa nazo

Chadema inaenda kufa mikononi mwa Lisu

Mark my words .

Kufikia uchaguzi wa October 2024 Chadema itakuwa hoi bin taabani kifedha na uchaguzi itaingia ikiwa inachechemea

Hakuna uwezekano wa chadena kupata mbunge hata mmoja kwa uongozi huu wa malofa uliopo
avoid trash in huge agenda
 
Baraza Kuu CHADEMA lashindwa kuendelea na mikutano yake kutokana na team Lissu kushindwa kulipia ukumbi wa mlimani city, Wajumbe wameanza kumkumbuka Mbowe mapema sana.

Inasemekana wanatafuta Ukumbi wa bei rahisi kwa muda huu.

1737642020812.jpeg
 

John Mnyika ulikuwa na nafasi ya kufafanua uzushi mwingi na uongo ambao Lissu na timu yake walikuwa wanamchafua Freeman.

Ukachagua kukaa kimya baada ya matusi yale na kuchafuka dingi akaonekana hafai kabisa kwenye chama akapigwa chini huku akiwa kachafuka haswa.
Ndio unajitokeza unawaambia hali halisi wajumbe ambao walilishwa uongo na uchafu kwa takribani miezi miwili.

Huu unafki wako utakuja kukurudia siku moja, na kama ulikuwa unatekeleza maagizo ya kitima basi sio muda mtaumbuka wote.
 
Ums
View attachment 3212543
John Mnyika ulikuwa na nafasi ya kufafanua uzushi mwingi na uongo ambao Lissu na timu yake walikuwa wanamchafua Freeman.
Ukachagua kukaa kimya baada ya matusi yale na kuchafuka dingi akaonekana hafai kabisa kwenye chama akapigwa chini huku akiwa kachafuka haswa.
Ndio unajitokeza unawaambia hali halisi wajumbe ambao walilishwa uongo na uchafu kwa takribani miezi miwili.

Huu unafki wako utakuja kukurudia siku moja, na kama ulikuwa unatekeleza maagizo ya kitima basi sio muda mtaumbuka wote.
Umeshachelewa......kubali maumivu tu
 
Back
Top Bottom