sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Lissu kaaribu sana image ya chamaChama cha wahuni hicho!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu kaaribu sana image ya chamaChama cha wahuni hicho!
😄😄😄Unafki ni wana sisi em kujifanya wapo pamoja na fAM.
Kumtukana Mbowe na kumteua tena Mnyika kuwa Katibu Mkuu hii maana yake ni kwamba Tuhuma za Mbowe ilikuwa ni kampeni tu, Naujua mfumo na ufanyaji kazi wa Chadema, Hakuna anachoweza kufanya Mwenyekiti ambacho Katibu hakijuiUms
Umeshachelewa......kubali maumivu tu
FAM amefanya jambo jema sana. Tunamshukuru yeye na wote waluompa hizo pesa. Hata hivyo chama kutegemea mtu mmoja siyo jambo la kushangilia. Ni heri chama kufa kuliko kuishi kwa kutegemea nguvu ya mtu mmoja.Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika amempongeza Freeman Mbowe kwa kugharamia shughuli zote za Uchaguzi CHADEMA