Kumbuka kipindi kile kilikuwa ni kampeni na ni uchaguzi. Sifa hizi n baada ya uchaguzi. Tofautisha uchaguzi na maisha baada ya uchaguzi mkuu. Nafikiri hili lieweke vyema
Mbowe bado nmwanachama wa cdm ila co mwenyekiti wa cdm. Uchaguzi umeisha anabakia kuwa mshauri na ile n kampen uctarajie kampeni ukamsifia mpinzani wako. LAbda hukuelewa game ilivyokuwa