Mobhare Matinyi ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari–MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali

Mobhare Matinyi ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari–MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali

Bila ya aibu yoyote, unasema upo tayari kuyaweka maendeleo ya Tanzania ndani ya 'freezer' kwa miaka mingine mitano?

Jameni, kwa nini msiionee hii nchi huruma?
Ghorofa linateketea kwa moto watu wapo chini wanakuangalia na fire nao wapo hapo hapo wanapiga ruti tu sa utafanyaje acha liungue tu
 
Ghorofa linateketea kwa moto watu wapo chini wanakuangalia na fire nao wapo hapo hapo wanapiga ruti tu sa utafanyaje acha liungue tu
Tuliposasa kama nchi, kwa mfano wako huo, ni bora kabisa ya kujirusha toka kwenye ghorofa linaloungua,angalao mwili utazolewa ukapewe heshima za maziko kuliko kuteketea na kuwa majivu.
 
Tetesi: Pascal Mayalla jina lake lilijadiliwa kidogo sana, halikufika hata juu ya meza ya katibu, walilibwaga mapema sana kwa kuwa duru za intelijensia walimuona ana kauli chafu chafu za kibaguzi na uelewa wake wa kupambanua na kuchanganua mambo ulikuwa mdogo sana. Yaani ni bwege bwege fulani hivi anaejiona anajuwa kuliko handlers wake. "Witless arrogant".

kikeke alionekana bado ana utoto mwingi na hayupo serious, pia hayupo vizuri na baadhi ya vyombo vya habari.

Hao wawili wajirekebishe, bado zipo nafasi nyingi za kuwekwa. Nawashauri wazisome na wazielewe kwa kina R nne za mama Samia.
Wakijirekebisha wana fursa kubwa sana ya kupelekwa mambo ya nje kama maafisa wa habari nje ya Tanzania. Waelewe kwa undani dhanna ya diplomasia ya uchumi.

Kama kuna short course za chuo cha diplomasia, wawahi kuzichukuwa.

Msinisemeshe mengi.

Reconcile Resilience Reform Rebuilding.
 
Fanya hivi emu fafanua hizo Rolls Royce's RR km ulivyoziandika alafu tuone


 

Summarize hapa hizo Rolls Royce's RR sio lazima nisome hayo magazeti yako
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Mobhare Matinyi kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari–MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali.

Kabla ya uteuzi huo Bw. Matinyi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.

Uteuzi huu unaanza mara moja.

huyu jamaa namfahamu vizuri na amesoma vizuri sana mambo ya uandishi wa habari
 
Tetesi: pascal Mayala jina lake lilijadiliwa kidogo sana, halikufika hata juu ya meza ya katibu, walilibwaga mapema sana kwa kuwa duru za intelijensia walimuona ana kauli chafu chafu za kibaguzi na uelewa wake wa kupambanua na kuchanganua mambo ulikuwa mdogo sana. Yaani ni bwege bwege fulani hivi anaejiona anajuwa kuliko handlers wake.

kikeke alionekana bado ana utoto mwingi na hayupo serious, pia hayupo vizuri na baadhi ya vyombo vya habari.

Hao wawili wajirekebishe, bado zipo nafasi nyingi za kuwekwa. Nawashauri wazisome na wazielewe kwa kina R nne za mama Samia.
Wakijirekebisha wana fursa kubwa sana ya kupelekwa mambo ya nje kama maafisa wa habari nje ya Tanzania. Waelewe kwa undani dhanna ya diplomasia ya uchumi.

Kama kuna short course za chuo cha diplomasia, wawahi kuzichukuwa.

Msinisemeshe mengi.

Reconcile Resilience Reform Rebuilding.
Uteuzi wako haukutangazwa popote, sasa tuseme wewe ni njia zipi zilizokufikisha huko, ambazo hao wengine inawawia vigumu kupafikia? Usiseme unayo nafuu kuwazidi wao.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Mobhare Matinyi kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari–MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali.

Kabla ya uteuzi huo Bw. Matinyi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.

Uteuzi huu unaanza mara moja.

Hakuna mtu Wala taasisi imewahi patia Uteuzi wowote wa Mama,mara zote Huwa anawapiga chenga 😁😁
 
Back
Top Bottom