Skudu makudubela
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 561
- 1,112
Nawaza tu endapo nchi hii itachukuliwa na chadema au upinzani ,je itachukua miaka mingapi kukijenga chama hicho kiuchumi kwa pesa ya walipa kodi wa Tanzania ndio maendeleo ya nchi yaje badae?nikiyakumbuka haya naamua kusimama na mama 2025Bila ya aibu yoyote, unasema upo tayari kuyaweka maendeleo ya Tanzania ndani ya 'freezer' kwa miaka mingine mitano?
Jameni, kwa nini msiionee hii nchi huruma?
Vipi kuhusu ayubuTetesi: pascal Mayala jina lake lilijadiliwa kidogo sana, halikufika hata juu ya meza ya katibu, walilibwaga mapema sana kwa kuwa duru za intelijensia walimuona ana kauli chafu chafu za kibaguzi na uelewa wake wa kupambanua na kuchanganua mambo ulikuwa mdogo sana. Yaani ni bwege bwege fulani hivi anaejiona anajuwa kuliko handlers wake.
kikeke alionekana bado ana utoto mwingi na hayupo serious, pia hayupo vizuri na baadhi ya vyombo vya habari.
Hao wawili wajirekebishe, bado zipo nafasi nyingi za kuwekwa. Nawashauri wazisome na wazielewe kwa kina R nne za mama Samia.
Wakijirekebisha wana fursa kubwa sana ya kupelekwa mambo ya nje kama maafisa wa habari nje ya Tanzania. Waelewe kwa undani dhanna ya diplomasia ya uchumi.
Kama kuna short course za chuo cha diplomasia, wawahi kuzichukuwa.
Msinisemeshe mengi.
Reconcile Resilience Reform Rebuilding.
Kwakweli maaana tangu kaja bongo namuona kma kawa mshamba sana kma hajaishi ulaya anaongea sana na kma kawa Comedian vileMbona mnakariri sana?! Na serikali waliacha hiyo nafasi wazi kwa makusudi wakijua wananchi wajinga watashupaza shingo kumbetia huyo muhuni wa london na sinza. Kumbe hamjui ndo mlikuwa mnamuharibia
Ni makosa kutabiri nyadhifa za serikalini na hata kama unajua kaa kimya! Serikali hawapendi target zao ziende sawa na mtabiri. Hata kama ilikuwa sawa watafanya mabadiliko tu! Huyo Kikeke apewe tu mkataba TBC au AZAM aanze kazi aache uzwazwa atakuja kufulia achekwe. Maana wabongo hawachelewi
Nawaza tu endapo nchi hii itachukuliwa na chadema au upinzani ,je itachukua miaka mingapi kukijenga chama hicho kiuchumi kwa pesa ya walipa kodi wa Tanzania ndio maendeleo ya nchi yaje badae?nikiyakumbuka haya naamua kusimama na mama 2025
Kama si msomaji wa makala huwezi kumjua!Huyu jamaa hata hajawahi kusikika popote duuuh hii noma sasa si atakua ana-mute tu mda wote maana sio mpigadomo km Ally Kamwe Mo Ally na wengine ambao ni 'Wasemaji' huwezi kua msemaji alafu haujui kupigadomo
Aiseee...yeye SK ni kupiga selfie tu kila siku,.....lakini nafikiri mwisho atapata sehemu tu akitulia......Kwakweli maaana tangu kaja bongo namuona kma kawa mshamba sana kma hajaishi ulaya anaongea sana na kma kawa Comedian vile
huyo wa BBCkajiharibia mwenyewe kwa Blaa Blaa zake amejitambulisha kama mtu mwenye mashara na utoto mwingi. Huwezi kumuweka msemaji wa serikali kwa Aina ya maisha anayojipambanua bwana yule!!Mbona mnakariri sana?! Na serikali waliacha hiyo nafasi wazi kwa makusudi wakijua wananchi wajinga watashupaza shingo kumbetia huyo muhuni wa london na sinza. Kumbe hamjui ndo mlikuwa mnamuharibia
Ni makosa kutabiri nyadhifa za serikalini na hata kama unajua kaa kimya! Serikali hawapendi target zao ziende sawa na mtabiri. Hata kama ilikuwa sawa watafanya mabadiliko tu! Huyo Kikeke apewe tu mkataba TBC au AZAM aanze kazi aache uzwazwa atakuja kufulia achekwe. Maana wabongo hawachelewi
Ilikuwaje? Ni mwendo wa viuchafu kurudishwa kwa gvt tu. Hapo ndiyo unaona weakness ya wafanya vetting, maana rais hupelekewa majungu tuJPM alimuonea sana huyu Bwana Matinyi.Acha nyota yake ichanue sasa
Aliye nacho ndiye huongezewa. Ngoja tusio nacho tuendelee kuwa watazamajiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Mobhare Matinyi kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari–MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali.
Kabla ya uteuzi huo Bw. Matinyi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.
Uteuzi huu unaanza mara moja.
Usiwe kilaza. Kikeke ni agronomist.Hawez kiteuliwa mtu hata elimu yake haieleweki,serikali kati ya vyote inazingatia zaidi sifa za kitaaluma!!
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Ni mawazo yangu ty jaribu pia kuheshimu mawazo ya kila mmojaPunguza dharau na kebehi hazitakufikisha popote.
[emoji23][emoji23]Na mimi nimemteua Mke Wangu mpendwa Mwantumu kuwa Msemaji wa Mke Wangu Mdogo Jacline
watu wa system wanafahamiana wenyewe. Usijiumize kichwa.Kosa lake lilikuwa nini?
Faiza habari za siku nyingiwatu wa system wanafahamiana wenyewe. Usijiumize kichwa.
Amos Makala au?Kama si msomaji wa makala huwezi kumjua!
Au manaraHii post ingemfaa Jerry Murro
Geson MsigwaMC wa Ikulu
Namaanisha opinions! Jamaa Yupo vizuri in general pia anaajua international relations! waulize Wakenya watakueleza! GoogleAmos Makala au?