Mobhare Matinyi ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari–MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali

Masters of arts zote hzo kapiga vyiuo tofauti
 
Kwakweli maaana tangu kaja bongo namuona kma kawa mshamba sana kma hajaishi ulaya anaongea sana na kma kawa Comedian vile
Haina shida ku-have fun na kuishi maisha yako ila tu usiweke mitandaoni contents ambazo zitahatarisha brand yako... kuna kesho pia na fursa ziko popote muda wote. Huenda ikakuharibia!
 
Sio kweli... hizo ni hisia zenu tu. Hakuna mtu alimuahidi usemaji wa serikali bana! Nani kakwambieni hilo mbona mmekazana sana!

Mwacheni aishi maisha yake! Kaishi na wazungu miaka chungu tela na ndo maisha yao yale. Wala haina tatizo
huyo wa BBCkajiharibia mwenyewe kwa Blaa Blaa zake amejitambulisha kama mtu mwenye mashara na utoto mwingi. Huwezi kumuweka msemaji wa serikali kwa Aina ya maisha anayojipambanua bwana yule!!
 
Sio kweli... hizo ni hisia zenu tu. Hakuna mtu alimuahidi usemaji wa serikali bana! Nani kakwambieni hilo mbona mmekazana sana!

Mwacheni aishi maisha yake! Kaishi na wazungu miaka chungu tela na ndo maisha yao yale. Wala haina tatizo
huyo wa BBCkajiharibia mwenyewe kwa Blaa Blaa zake amejitambulisha kama mtu mwenye mashara na utoto mwingi. Huwezi kumuweka msemaji wa serikali kwa Aina ya maisha anayojipambanua bwana yule!!
 
Hapo ndo unazidi kuwachanganya wajinga..., vile unajifanyaga we ndo Madame President 🤣🤣🤣

We TOKA ZAKO KULE!!!!
 
Dah,mtamuua Mzee Pascal![emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Nawaza tu endapo nchi hii itachukuliwa na chadema au upinzani ,je itachukua miaka mingapi kukijenga chama hicho kiuchumi kwa pesa ya walipa kodi wa Tanzania ndio maendeleo ya nchi yaje badae?nikiyakumbuka haya naamua kusimama na mama 2025
Kuna nchi jeshi linaamua kuchukua madaraka... na hawana hitaji la kujenga chama chochote kiuchumi!
Ila umefanya vizuri kuliweka bayana... kumbe ccm inajijenga kwa Kodi za waTanzania.
 
Mkuu jiwe kaiaribu nchi kivip mbona miaka mingi mingi nchi ni hovyo tu ? Tokea nipo mdogo mpaka sasa nchi bado masikini tu Serikali bado inaomba omba pesa za kujikimu kutoka Ulaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…