Mohammed Shabiby: Namna ya kupunguza bei za mafuta kwa 50% ya bei za sasa

We ndo mpuuzi kiazi mviringo maana uanjua kila kitu jpm ndo ameazisha
Mfumo umeanza 2011
Na wakati unaanza watu wengi waliandika na kufanya research ya kuonyesha madhara yake. Ila huenda kulikua na maslahi Kama alivyosema shabiby
 
Tatizo biashara ya mafuta inashikiliwa na wanasiasa walafi ambao ndio wanaotoa maamuzi kwa maslahi yao binafsi. Kuna haja ya kufanya mapinduzi ya kuokoa nchi kutoka mikononi manyang'au yalinayohodhi madaraka
Ndio tatizi lililopo hili,kila sekta hawa watu wamejiingiza na ndio maana vyombo vingine vya mamlkaka havina nguvu juu ya usimamiaji wa sera na sheria zake, utasikia aah hapa kuna mkono wa mkubwa hivyo ni ngumu kulisimamia.
 

Huyu ana Kundi lake…Katumwa na wafanyabiashara wenzake…Kwanza watuambie Mafuta ya Kula Wakati wanaagiza mbona Yakikuwa juu?
Mfano Zamani Dawa za Corono ziliagizwa na WHO kutoka Makampuni ya madawa na Ilisaidia Ktk udhibiti.
Sasa waneona watafute nafasi ya Kupiga wamemtuma tuu huyu…
Wafanyabiashara bana![emoji30]
Sukari wantuoiga,Mafuta ya Kula wanatupiga tangu zamani…
Sasa wanataka kuhamia kwa Petroleum [emoji23][emoji3]
 
Ila we jamaa comment zote hizo juu umeiona hiyo? Utakua una shida,
Tushawajua chuki zenu kwa January Makamba Ni dini yake, na sio msukuma mwenzenu, kingine mmemaindi fisadi Kalemani kutolewa Nishati
 
Utaratibu wa Bulk Procurement ni mbovu ni hakuna mfano na wala sio mwarobaini wa ukwepaji kodi tena ktk nchi hii swala la ukwepaji kodi kwa watu wakubwa haina dawa kwa sababu ccm inawajitaji mno wakati wa uchaguzi.

Kama soko la uagizwaji ukiachwa uwe liberalized unaweza ukasaidia sana kwani mafuta haya tunayotumia sana sana yanatoka uarabuni ambako bei yao waga iko juu ukilinganisha na nchi kama Russia ambao sasa hivi kwa sababu za vikwazo wanatoa "Discount" kubwa sana ya 20% ya bei ya sokoni.

Hivyo kama tungekuwa na waagizaji kutoka Russia sasa hivi bei isingekuwa juu kama ilivyo sasa. Ila kwa kuwa kuna watu wananufaika na utaratibu huu wa sasa bila shaka watapinga kwa sababu itawafanya wapoteze maslahi yao.
 
Takukuru iliundwa ya nini, si ifutwe tu tuelewe moja.

Kwa nini tuogope kitu kinachoweza kutupa unafuu kwa kuogopa rushwa wakati kuna vyombo vinavyotumia kodi zetu kushughulikia hilo tatizo.
 
Huyu ni mwongo!Wakiagiza huwezi kuwapangia bei! Wafanyabiashara watakula njama za kupandisha sana bei kuliko kawaida kwa kisingizio cha vita!
 
Nani amekwambia US bado ananunua mafuta toka Russia, acheni kupotosha watu wengi wasiojua maswala ya kimataifa au kama ni effects ya vitu vingine vya kuvuta pia nakushauri uachane nazo.
 
Serikali inatakiwa kuimarisha taasisi zinazosimamia viwango tuu inatosha . Hakuna mfanyabiashara ataleta mafuta aje kupata hasara nakuhakikishia hilo.
 
Mkuu, ukiangalia idadi ya watoto chini ya miaka mitano huko mitaani unagundua kuwa watu wameacha kazi iendelee.... wamechagua kazi nyingine ya kuijaza Dunia. 😉
Tunatwanga maji kwenye kinu tu!😛
 
Mkuu, ukiangalia idadi ya watoto chini ya miaka mitano huko mitaani unagundua kuwa watu wameacha kazi iendelee.... wamechagua kazi nyingine ya kuijaza Dunia. 😉
Tunatwanga maji kwenye kinu tu!😛
Na hii inasikitisha mno,nchi tunazaliana mno na hili linaongeza umasikini kwenye family zetu
 
Sema tu munataka kupiga dili za mafuta ya Libya na Iraq ya wizi
 
Wataalamu wanasemaje kuhusu hilo jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…