Hapo msisitizo wa mama ni mtoto akasomee mbele.Ni kweli alipata ufadhili wa Global Education Link kwa makubaliano maalum. Siwezi kuyaandika hapa kwa sababu za kisheria lakini sio makubaliano mabaya.
Mtoto wa kike huyo anaweza tuletea shemeji wa kizungu.Yaani ubalozi wa Tanzania nje za nchi ni wabinafsi mno, sijui kama wanaweza msaidia. Yeye kama anahela asepe zake tu nchi zingine. Pia kwa nature ya ubaguzi atapata tabu. Hivi kingine hiyo nchi mbona imechapika alimepeleka kujiuza kama kahaba? Maana sioni sababu kwenda nchi ambayo mi naifahamu imechapika na wabaguzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushashiba umehamia netifilix ishakuharibu akili Sasa unawaza kuwa komandoo..[emoji1787]
Ukraine ni masikini mno yaani unemployment rate ni kubwa mno na lugha yao inawafanya wawe masikini zaidi.Mtoto wa kike huyo anaweza tuletea shemeji wa kizungu.
Sisi tu tulio hapa wanatutafutia sababu watuue wabaki pekee yao na familia zao waitafune nchi vizuri mbwa hawa.Baada ya Urusi kuonyesha nia ya dhati kabisa ya kuishambulia Ukraine, mataifa mengi Duniani yalichukua hatua za kuwarudisha raia wake nyumbani.
Wale ambao hawakuwa na nauli Serikali zao ziliwatumia nauli.
Na baadhi ya nchi kama Israel na Germany walituma ndege kabisa kubeba raia wao.
Wakati hayo yakijiri, Tanzania ilikuwa kimya utadhani hakuna mtanzania yoyote Ukraine.
Baada ya Urusi kutangaza kuyatambua majimbo ya Donetsk,Donbass na Lugansk yaliyoasi kutoka Ukraine na kujitangaza Jamhuri,ndipo Serikali ya Tanzania ilipotoa ushauri tu,na siyo msaada kuwataka Watanzania waliopo Ukraine warudi nyumbani.
Yaani ni ushauri tu,na si kwamba Serikali haikujua kwamba ni lazima vita iwepo, hapana, Serikali ilijua yote kuwa vita ipo kwa sababu kila kitu kilikuwa wazi ktk uso wa Dunia.
Ila kwa sababu ya kutokuwa na Desturi ya kupenda watu wake ndo sababu haikuchukua hatua zozote kuokoa watu wake.
Mmoja Kati ya Watanzania wenye majonzi na hili janga la Ukraine ni msanii wa Bongo movie,Monalisa, anadai kwamba amepoteza mawasiliano na Bintiye anayesoma Ukraine na hajui hatima yake hadi sasa hivi.
Kulikuwa na ugumu gani Serikali kuchukua hatua mapema za kuokoa watu wake kwa gharama yoyote ile?
Huwa tukisema kwamba Serikali ya CCM imechoka na imechakaa kifikra na kiutendaji tunaonekana watu wabaya sana.
Tuendako tutaongea lugha moja,sasa hivi mipaka ya Ukraine imefungwa,na anga limefungwa, hairuhusiwi ndege yoyote ya kiraia kuruka kwenye anga la la Ukraine.
Rais wa Ukraine amewataka raia wote kwenda kwenye kambi za kijeshi kuchukua silaha za kujihami.
Hatima ya Watanzania waliopo Ukraine hadi sasa haijulikani itakuwaje.
Umeandika Kwa Uchungu Sana [emoji848]Baada ya Urusi kuonyesha nia ya dhati kabisa ya kuishambulia Ukraine, mataifa mengi Duniani yalichukua hatua za kuwarudisha raia wake nyumbani.
Wale ambao hawakuwa na nauli Serikali zao ziliwatumia nauli.
Na baadhi ya nchi kama Israel na Germany walituma ndege kabisa kubeba raia wao.
Wakati hayo yakijiri, Tanzania ilikuwa kimya utadhani hakuna mtanzania yoyote Ukraine.
Baada ya Urusi kutangaza kuyatambua majimbo ya Donetsk,Donbass na Lugansk yaliyoasi kutoka Ukraine na kujitangaza Jamhuri,ndipo Serikali ya Tanzania ilipotoa ushauri tu,na siyo msaada kuwataka Watanzania waliopo Ukraine warudi nyumbani.
Yaani ni ushauri tu,na si kwamba Serikali haikujua kwamba ni lazima vita iwepo, hapana, Serikali ilijua yote kuwa vita ipo kwa sababu kila kitu kilikuwa wazi ktk uso wa Dunia.
Ila kwa sababu ya kutokuwa na Desturi ya kupenda watu wake ndo sababu haikuchukua hatua zozote kuokoa watu wake.
Mmoja Kati ya Watanzania wenye majonzi na hili janga la Ukraine ni msanii wa Bongo movie,Monalisa, anadai kwamba amepoteza mawasiliano na Bintiye anayesoma Ukraine na hajui hatima yake hadi sasa hivi.
Kulikuwa na ugumu gani Serikali kuchukua hatua mapema za kuokoa watu wake kwa gharama yoyote ile?
Huwa tukisema kwamba Serikali ya CCM imechoka na imechakaa kifikra na kiutendaji tunaonekana watu wabaya sana.
Tuendako tutaongea lugha moja,sasa hivi mipaka ya Ukraine imefungwa,na anga limefungwa, hairuhusiwi ndege yoyote ya kiraia kuruka kwenye anga la la Ukraine.
Rais wa Ukraine amewataka raia wote kwenda kwenye kambi za kijeshi kuchukua silaha za kujihami.
Hatima ya Watanzania waliopo Ukraine hadi sasa haijulikani itakuwaje.
Balozi unaweza kuta kashakwea zake pipa yupo dar mpaka hali iwe shwarBalozi wa Tz huko Ukrain ametoa tu tamko kuwa Watz warudi nyumbani upesi, swala la namna watakavyorudi amelipuuza.
Kuna Nchi nyingine wazazi waangalie kupeleka watoto Nchi imekaa kimapigano unampelekaje mtoto,Mungu amsaidie
Kumbe ok ndo atajua hajui atumie ushawi kuja Africa na ungoBinti mwenyewe alitamba hawezi somea chuo cha bongo hivyo wakatafuta cha nje chenye kumkubali fasta wasijepata aibu
Account ni nini wewe? Sema Accounting.Account ya Happ kwetu ipo vzr sna na Kama Ni account apate na CPA ya Happ ndani utakuwa vzr aseme tu kuwa amepata ufadhili
Hatuna huo uwezo mkuu,Balozi wa Tz huko Ukrain ametoa tu tamko kuwa Watz warudi nyumbani upesi, swala la namna watakavyorudi amelipuuza.
Hawa wasanii wa Bongo movies na Bongo flavour vichwa vyao ni matakataka tupu,sisi raia tunalia kila siku kuuawa,kuporwa uchaguzi,kubambikiwa kesi wao wapo kimya.Baada ya Urusi kuonyesha nia ya dhati kabisa ya kuishambulia Ukraine, mataifa mengi Duniani yalichukua hatua za kuwarudisha raia wake nyumbani.
Wale ambao hawakuwa na nauli Serikali zao ziliwatumia nauli.
Na baadhi ya nchi kama Israel na Germany walituma ndege kabisa kubeba raia wao.
Wakati hayo yakijiri, Tanzania ilikuwa kimya utadhani hakuna mtanzania yoyote Ukraine.
Baada ya Urusi kutangaza kuyatambua majimbo ya Donetsk,Donbass na Lugansk yaliyoasi kutoka Ukraine na kujitangaza Jamhuri,ndipo Serikali ya Tanzania ilipotoa ushauri tu,na siyo msaada kuwataka Watanzania waliopo Ukraine warudi nyumbani.
Yaani ni ushauri tu,na si kwamba Serikali haikujua kwamba ni lazima vita iwepo, hapana, Serikali ilijua yote kuwa vita ipo kwa sababu kila kitu kilikuwa wazi ktk uso wa Dunia.
Ila kwa sababu ya kutokuwa na Desturi ya kupenda watu wake ndo sababu haikuchukua hatua zozote kuokoa watu wake.
Mmoja Kati ya Watanzania wenye majonzi na hili janga la Ukraine ni msanii wa Bongo movie,Monalisa, anadai kwamba amepoteza mawasiliano na Bintiye anayesoma Ukraine na hajui hatima yake hadi sasa hivi.
Kulikuwa na ugumu gani Serikali kuchukua hatua mapema za kuokoa watu wake kwa gharama yoyote ile?
Huwa tukisema kwamba Serikali ya CCM imechoka na imechakaa kifikra na kiutendaji tunaonekana watu wabaya sana.
Tuendako tutaongea lugha moja,sasa hivi mipaka ya Ukraine imefungwa,na anga limefungwa, hairuhusiwi ndege yoyote ya kiraia kuruka kwenye anga la la Ukraine.
Rais wa Ukraine amewataka raia wote kwenda kwenye kambi za kijeshi kuchukua silaha za kujihami.
Hatima ya Watanzania waliopo Ukraine hadi sasa haijulikani itakuwaje.
Kumbe hata ninyi wana-ccm kuna muda huwa mnaakili!!!!Yaani ubalozi wa Tanzania nje za nchi ni wabinafsi mno, sijui kama wanaweza msaidia. Yeye kama anahela asepe zake tu nchi zingine. Pia kwa nature ya ubaguzi atapata tabu. Hivi kingine hiyo nchi mbona imechapika alimepeleka kujiuza kama kahaba? Maana sioni sababu kwenda nchi ambayo mi naifahamu imechapika na wabaguzi