Monalisa apata presha mtoto wake aliye Ukraine kimasomo, vita ya Urusi yamvuruga mama mtu

Monalisa apata presha mtoto wake aliye Ukraine kimasomo, vita ya Urusi yamvuruga mama mtu

Yaani ubalozi wa Tanzania nje za nchi ni wabinafsi mno, sijui kama wanaweza msaidia. Yeye kama anahela asepe zake tu nchi zingine. Pia kwa nature ya ubaguzi atapata tabu. Hivi kingine hiyo nchi mbona imechapika alimepeleka kujiuza kama kahaba? Maana sioni sababu kwenda nchi ambayo mi naifahamu imechapika na wabaguzi
Mtoto wa kike huyo anaweza tuletea shemeji wa kizungu.
 
Baada ya Urusi kuonyesha nia ya dhati kabisa ya kuishambulia Ukraine, mataifa mengi Duniani yalichukua hatua za kuwarudisha raia wake nyumbani.

Wale ambao hawakuwa na nauli Serikali zao ziliwatumia nauli.

Na baadhi ya nchi kama Israel na Germany walituma ndege kabisa kubeba raia wao.

Wakati hayo yakijiri, Tanzania ilikuwa kimya utadhani hakuna mtanzania yoyote Ukraine.

Baada ya Urusi kutangaza kuyatambua majimbo ya Donetsk,Donbass na Lugansk yaliyoasi kutoka Ukraine na kujitangaza Jamhuri,ndipo Serikali ya Tanzania ilipotoa ushauri tu,na siyo msaada kuwataka Watanzania waliopo Ukraine warudi nyumbani.

Yaani ni ushauri tu,na si kwamba Serikali haikujua kwamba ni lazima vita iwepo, hapana, Serikali ilijua yote kuwa vita ipo kwa sababu kila kitu kilikuwa wazi ktk uso wa Dunia.

Ila kwa sababu ya kutokuwa na Desturi ya kupenda watu wake ndo sababu haikuchukua hatua zozote kuokoa watu wake.

Mmoja Kati ya Watanzania wenye majonzi na hili janga la Ukraine ni msanii wa Bongo movie,Monalisa, anadai kwamba amepoteza mawasiliano na Bintiye anayesoma Ukraine na hajui hatima yake hadi sasa hivi.

Kulikuwa na ugumu gani Serikali kuchukua hatua mapema za kuokoa watu wake kwa gharama yoyote ile?

Huwa tukisema kwamba Serikali ya CCM imechoka na imechakaa kifikra na kiutendaji tunaonekana watu wabaya sana.

Tuendako tutaongea lugha moja,sasa hivi mipaka ya Ukraine imefungwa,na anga limefungwa, hairuhusiwi ndege yoyote ya kiraia kuruka kwenye anga la la Ukraine.

Rais wa Ukraine amewataka raia wote kwenda kwenye kambi za kijeshi kuchukua silaha za kujihami.

Hatima ya Watanzania waliopo Ukraine hadi sasa haijulikani itakuwaje.
Sisi tu tulio hapa wanatutafutia sababu watuue wabaki pekee yao na familia zao waitafune nchi vizuri mbwa hawa.

Sasa balozi kauchuna chuuuh hata kutoa tamko kwa raia wa Tanzania kujihadhari na kinachoendelea huko wamekaa kimya.
 
Baada ya Urusi kuonyesha nia ya dhati kabisa ya kuishambulia Ukraine, mataifa mengi Duniani yalichukua hatua za kuwarudisha raia wake nyumbani.

Wale ambao hawakuwa na nauli Serikali zao ziliwatumia nauli.

Na baadhi ya nchi kama Israel na Germany walituma ndege kabisa kubeba raia wao.

Wakati hayo yakijiri, Tanzania ilikuwa kimya utadhani hakuna mtanzania yoyote Ukraine.

Baada ya Urusi kutangaza kuyatambua majimbo ya Donetsk,Donbass na Lugansk yaliyoasi kutoka Ukraine na kujitangaza Jamhuri,ndipo Serikali ya Tanzania ilipotoa ushauri tu,na siyo msaada kuwataka Watanzania waliopo Ukraine warudi nyumbani.

Yaani ni ushauri tu,na si kwamba Serikali haikujua kwamba ni lazima vita iwepo, hapana, Serikali ilijua yote kuwa vita ipo kwa sababu kila kitu kilikuwa wazi ktk uso wa Dunia.

Ila kwa sababu ya kutokuwa na Desturi ya kupenda watu wake ndo sababu haikuchukua hatua zozote kuokoa watu wake.

Mmoja Kati ya Watanzania wenye majonzi na hili janga la Ukraine ni msanii wa Bongo movie,Monalisa, anadai kwamba amepoteza mawasiliano na Bintiye anayesoma Ukraine na hajui hatima yake hadi sasa hivi.

Kulikuwa na ugumu gani Serikali kuchukua hatua mapema za kuokoa watu wake kwa gharama yoyote ile?

Huwa tukisema kwamba Serikali ya CCM imechoka na imechakaa kifikra na kiutendaji tunaonekana watu wabaya sana.

Tuendako tutaongea lugha moja,sasa hivi mipaka ya Ukraine imefungwa,na anga limefungwa, hairuhusiwi ndege yoyote ya kiraia kuruka kwenye anga la la Ukraine.

Rais wa Ukraine amewataka raia wote kwenda kwenye kambi za kijeshi kuchukua silaha za kujihami.

Hatima ya Watanzania waliopo Ukraine hadi sasa haijulikani itakuwaje.
Umeandika Kwa Uchungu Sana [emoji848]
 
Hii nchi sijui nani katufikisha hapa yaani ukipatwa na tatizo halafu uwe na kipato cha kati walau aisee ni uadui na wasio nacho.


Kwa mzazi lazima apate presha juu ya mwanae. Ila ndo ivo tena ujumbe umeangukia JF yataka moyo!
 
Baada ya Urusi kuonyesha nia ya dhati kabisa ya kuishambulia Ukraine, mataifa mengi Duniani yalichukua hatua za kuwarudisha raia wake nyumbani.

Wale ambao hawakuwa na nauli Serikali zao ziliwatumia nauli.

Na baadhi ya nchi kama Israel na Germany walituma ndege kabisa kubeba raia wao.

Wakati hayo yakijiri, Tanzania ilikuwa kimya utadhani hakuna mtanzania yoyote Ukraine.

Baada ya Urusi kutangaza kuyatambua majimbo ya Donetsk,Donbass na Lugansk yaliyoasi kutoka Ukraine na kujitangaza Jamhuri,ndipo Serikali ya Tanzania ilipotoa ushauri tu,na siyo msaada kuwataka Watanzania waliopo Ukraine warudi nyumbani.

Yaani ni ushauri tu,na si kwamba Serikali haikujua kwamba ni lazima vita iwepo, hapana, Serikali ilijua yote kuwa vita ipo kwa sababu kila kitu kilikuwa wazi ktk uso wa Dunia.

Ila kwa sababu ya kutokuwa na Desturi ya kupenda watu wake ndo sababu haikuchukua hatua zozote kuokoa watu wake.

Mmoja Kati ya Watanzania wenye majonzi na hili janga la Ukraine ni msanii wa Bongo movie,Monalisa, anadai kwamba amepoteza mawasiliano na Bintiye anayesoma Ukraine na hajui hatima yake hadi sasa hivi.

Kulikuwa na ugumu gani Serikali kuchukua hatua mapema za kuokoa watu wake kwa gharama yoyote ile?

Huwa tukisema kwamba Serikali ya CCM imechoka na imechakaa kifikra na kiutendaji tunaonekana watu wabaya sana.

Tuendako tutaongea lugha moja,sasa hivi mipaka ya Ukraine imefungwa,na anga limefungwa, hairuhusiwi ndege yoyote ya kiraia kuruka kwenye anga la la Ukraine.

Rais wa Ukraine amewataka raia wote kwenda kwenye kambi za kijeshi kuchukua silaha za kujihami.

Hatima ya Watanzania waliopo Ukraine hadi sasa haijulikani itakuwaje.
Hawa wasanii wa Bongo movies na Bongo flavour vichwa vyao ni matakataka tupu,sisi raia tunalia kila siku kuuawa,kuporwa uchaguzi,kubambikiwa kesi wao wapo kimya.

,haiwezekani mataifa mengine yanatoa raia wao ninyi mpo busy na kesi ya Mbowe;hata Corvid-19 ilipolipuka nchini China watu wenye fikra chanya walitaka Watanzania wasiojiweza hasa walioenda kimasomo watumiwe ndege lkn,ccm walijibu "sisi hatukumpeleka mtu China"
 
Yaani ubalozi wa Tanzania nje za nchi ni wabinafsi mno, sijui kama wanaweza msaidia. Yeye kama anahela asepe zake tu nchi zingine. Pia kwa nature ya ubaguzi atapata tabu. Hivi kingine hiyo nchi mbona imechapika alimepeleka kujiuza kama kahaba? Maana sioni sababu kwenda nchi ambayo mi naifahamu imechapika na wabaguzi
Kumbe hata ninyi wana-ccm kuna muda huwa mnaakili!!!!
 
Back
Top Bottom