Monalisa apata presha mtoto wake aliye Ukraine kimasomo, vita ya Urusi yamvuruga mama mtu

So uchumi wa mwanaume ni wako[emoji15]!?

Aisee
 
Monalisa kalileta hilo swala public ili iweje!?

Ukishaleta kitu in public kuwa tayari kupokea yote.

Kama huwezi matatizo yako maliza mwenyewe kila mtu ana matatizo yake!?

So wakati mwingine walimwengu hawana baya inategemea na wewe umejiweka katika position gani

Unaweza watu wanakuchukia kumbe unajishtukia tu[emoji2]
 
Kwahio Sonia nae itabidi apewe Gun ili apambanie life lake😎
 
Wabongo tunajuana kwa unafiki,,
 

Kwani walipelekwa na serikali?

Kwanini mnatetea sana waliopo nje kubebwa na serikali wakati bibi zenu kila siku wanakwama kule vijijini na hampigi kelele? Waliopo nje ni bora zaidi kuliko wa ndani?

Kufananisha bongo na US ni sawa na kumfananisha mzee wako na Bakhressa. Bakhressa akimnunulia mwanae Ferrari na wewe unataka baba yako akununulie Ferrari wakati unajua uwezo wake?

This comes from a diasporic.
 
hawapo watanzania wengine wanosomesha watoto huko ukraine au ni huyu msanii tu
 
Wanawapeleka watoto wao kusoma nje wakirudi wanaishia kuajiriwa mshahara laki tatu 😁, afadhali ya housegirl alieajiriwa nchi za kiarabu anakula laki 6 hadi 9 per month.
 
Ameenda kusomea Accounts ..
Kuna mtu alienda Russia akasomea Tourism..mwaka wa sita anamaliza hata Interview moja hajawahi itwa.
Ni vizuri Wazazi wakawa wanashauriwa vizuri nini mtoto akasome huko nje, otherwise Tanzani we have the best Universities
 
Ameenda kusomea Accounts ..
Kuna mtu alienda Russia akasomea Tourism..mwaka wa sita anamaliza hata Interview moja hajawahi itwa.
Ni vizuri Wazazi wakawa wanashauriwa vizuri nini mtoto akasome huko nje, otherwise Tanzani we have the best Universities

Africa aliyetuloga alaaniwe Yan unaenda Russia kusomea tourism na lile baridi lakule ukae miaka 6 haha wakati kuna watu hapa wanapiga 6months tu wanakua vizur Hata asipopata kazi anajianzishia tu kikampuni chake cha utalii
 
Tatizo la watanzania wengi hua wanadhani kila nchi ya huko ulaya ni nzuri na mtu akisoma huko atapata elimu nzuri.

Hawajui kuna nchi za ulaya ambazo ni za hovyo kuliko hata tz na kuliko kwenda huko bora kubaki tu hapa hapa.
Sifa kwenda kusoma nje,wee hujui hilo hata kukaa nje lakini unapata shida na tabu ni poa tuu🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…