Monalisa apata presha mtoto wake aliye Ukraine kimasomo, vita ya Urusi yamvuruga mama mtu

San
Humu Kuna comments za chuki....watanzania wana wivu asee!

Mtu asitoboe, atakoma siku akipata tatizo!

Kuna hadi wanaowish huyo mtoto apotee kabisa waseme si tulikuambia we monalisa, kiko wapi sasa[emoji26][emoji26] so sad
Sana aisee watu wana hate mmmh
 
Ukraine ni masikini mno yaani unemployment rate ni kubwa mno na lugha yao inawafanya wawe masikini zaidi.

Huyo binti atakuwa anajiuza tu kwenye night club.
Kinachonishangaza mtu unapeleka nje mtoto akasome masomo ya arts ya accounting and auditing kweli? Vyuo vyetu kibao vinatoa hizo course

Ila kama ni mfadhili analipia hapo sawa lakini unatoa kabisa pesa mfukoni mtoto akasome accounting and auditing. Humtendei haki wala wala hujitendei haki wala pesa yako huitendei haki
 
Wanawapeleka watoto wao kusoma nje wakirudi wanaishia kuajiriwa mshahara laki tatu [emoji16], afadhali ya housegirl alieajiriwa nchi za kiarabu anakula laki 6 hadi 9 per month.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kusoma Ukraine ni kutoboa?
Humu Kuna comments za chuki....watanzania wana wivu asee!

Mtu asitoboe, atakoma siku akipata tatizo!

Kuna hadi wanaowish huyo mtoto apotee kabisa waseme si tulikuambia we monalisa, kiko wapi sasa[emoji26][emoji26] so sad
 
Ni ulimbukeni tu.
Tatizo la watanzania wengi hua wanadhani kila nchi ya huko ulaya ni nzuri na mtu akisoma huko atapata elimu nzuri.

Hawajui kuna nchi za ulaya ambazo ni za hovyo kuliko hata tz na kuliko kwenda huko bora kubaki tu hapa hapa.
 
Kusoma Ukraine ni kutoboa?
Halafu mtu Kaenda kusoma Degree ya accounting and auditing kuna kutoka gani HAPO?

Angeenda kusoma nuclear science au aeronautical engineering angalau mtu unasema kaenda kusoma atoboe.Ila degree ya Auditing and accounting !! Mmmm Vyuo vyetu mbona degree hizo zimejaa kibao
 
Binti mwenyewe alitamba hawezi somea chuo cha bongo hivyo wakatafuta cha nje chenye kumkubali fasta wasijepata aibu
Halafu form alifaulu vizuri mno

Kumpeleka Ukraine kusomea Accounting and auditing hajamtendea haki kwa akili alizonazo mtoto.Very sad
 
Lakini si alisema mwanae Hana hadhi ya kusoma TZ? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio ampeleke Ukraine kusoma Accounting and Auditing? Degree ya hadji ya chini.mno hata akienda soko la ajira aliyesoma hiyo degree Tanzania hadhi iko juu zaidi kuliko huyo wa ukraine
 
Mitoto yao Inafeli shule inashindwa kuwa Adimited UDSM wanaipeleka Zion college za uturuki na Msoma utalii za uturuki
 
Account ya Happ kwetu ipo vzr sna na Kama Ni account apate na CPA ya Happ ndani utakuwa vzr aseme tu kuwa amepata ufadhili
Alifeli hakuwa na sifa za kuwa adimited UDSM kakimbilia Zion college ya uko ukilane
 
Binti mwenyewe alitamba hawezi somea chuo cha bongo hivyo wakatafuta cha nje chenye kumkubali fasta wasijepata aibu
Hakana Akili vyuo bora kibao vipo South Africa kameenda collage za ukraine
 
Kaenda piga picha za insta si unajua mambele picha zinakuwaga safi hivi ukichagiza na mibarafu[emoji1787]
 
Hakana Akili vyuo bora kibao vipo South Africa kameenda collage za ukraine
Uko sahihi mtoto mwenye akili angeenda south Afrika, Ulaya Magharibi na Marekani sio Ukraine au urusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…