Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #81
Uongo hautakusaidia chochoteYaap kakulia kijijini Machame kaja mjini mtu mzima.Ndio maana ushamba unamsumbua.Alianza kujihusisha na siasa kwa kutaka kugombea na TLP ikasemekana akapewa kidogo ajitoe.Au wewe umemjua Lema akiwa Chadema?
Jinai HaioziMakonda alifaa kuwa Gerezani.
Leta huo ukweli.Wewe Lema umemjulia Chadema. Kanusha kwa kusema lipi nililoandika ni uongo.Au ukweli unakupa tabu kws huyo mjinga unayemuita nabii?Uongo hautakusaidia chochote
Hatujibizani na WajingaLeta huo ukweli.Wewe Lema umemjulia Chadema. Kanusha kwa kusema lipi nililoandika ni uongo.Au ukweli unakupa tabu kws huyo mjinga unayemuita nabii?
Mjinga mama yako aliyezaa litoto lisilokuwa na faida.Afadhali baba yako angetumia mkono.Hatujibizani na Wajinga
Kwani mada ilikuwa tunazungumzia nani?Au unahamisha magoli?Mantiki yangu ilikuwa kuwalinganisha Mbowe aliyekulia mjini na Lema aliyekulia kijijini. Tukubaliane kwanza halafu ndio tuendelee na mlinganisho mwingine.
Lini alikuibia gari kweli wewe pimbiHuyu kichaa na mwizi wa magari unamwita Nabii labda ni Nabii wa ukoo wenu!
Tulichokuwa tunazungumzia ni Mbowe kusalimiana na Makonda.Makonda hakukataa kusalimiana na mtu hivyo hoja yako ni mfu.Aliyekataa ni Lema ndio nikasema amekulia kijijini ana kaushamba.Hajui kwamba siasa sio uadui ni mielekeo tofauti.Angekataa Makonda ndio ingekuwa valid kumpima ukomavu wake tokea aje mjini.Kama Lema hakumsalimia Makonda unasema ni kwakuwa kaja mjini ukubwani, ndio nikasema Makonda alikuja mjini akiwa na umri gani ili tupime yeye kupeana mkono na Mbowe ni kwakuwa alikuja mjini akiwa na umri gani? Au wote waliosalimiana na Makonda hapo msibani wako mjini toka utotoni?
Jiwe utakufa, akamweka na jela!Chadema mna vituko lema nae nabii [emoji1787]
Jina huwa linaumba.Nabii?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Ila CDM kwa vituko hamjambo nyie!
Ni kweli kwamba ni siku ya Mazishi , lakini kama tulivyosema awali , kila kwenye jambo kubwa hakukosekani tuvituvitu tudogo tusitoonekana kirahisi .
Sisi wengine pamoja na msiba huu macho yetu ni kama yamefungwa shingo ya feni , tunaona yasiyoonekana kirahisi .
Nabii wa Mungu Godblesa Lema amegoma kumpa mkono wa salamu bwana Paulo Makonda kama ishara ya kupinga Unafiki , unaambiwa ilikuwa aibu sana ! ikabidi Mbowe aokoe jahazi , maana tayari wakuda wa vyombo vya habari walishaanza kusogea .
Noma kweli yaani !
View attachment 2906981
Ni kweli kwamba ni siku ya Mazishi , lakini kama tulivyosema awali , kila kwenye jambo kubwa hakukosekani tuvituvitu tudogo tusitoonekana kirahisi .
Sisi wengine pamoja na msiba huu macho yetu ni kama yamefungwa shingo ya feni , tunaona yasiyoonekana kirahisi .
Nabii wa Mungu Godblesa Lema amegoma kumpa mkono wa salamu bwana Paulo Makonda kama ishara ya kupinga Unafiki , unaambiwa ilikuwa aibu sana ! ikabidi Mbowe aokoe jahazi , maana tayari wakuda wa vyombo vya habari walishaanza kusogea .
Noma kweli yaani !
View attachment 2906981
Unajichekesha!? Kwani mtu kuitwa Nabii nanmwingine akiitwa ana maono kuna tofauti?!Nabii?? 🤣🤣🤣🤣🤣.
Ila CDM kwa vituko hamjambo nyie!
Tulichokuwa tunazungumzia ni Mbowe kusalimiana na Makonda.Makonda hakukataa kusalimiana na mtu hivyo hoja yako ni mfu.Aliyekataa ni Lema ndio nikasema amekulia kijijini ana kaushamba.Hajui kwamba siasa sio uadui ni mielekeo tofauti.Angekataa Makonda ndio ingekuwa valid kumpima ukomavu wake tokea aje mjini.
Lema sio politician ni mwanaharakati.
Hana qualities za kucheza michezo ya siasa. On the other side Mbowe ni politician aliyekomaa kwenye fani yake.
Mama yangu alishafariki kitambo , apumzike kwa amani.Mjinga mama yako aliyezaa litoto lisilokuwa na faida.Afadhali baba yako angetumia mkono.
Msamehe hajui asemacho,Mama yangu alishafariki kitambo , apumzike kwa amani.
Hivi mnawezaje kuandika lugha kama hizi? Hata kama hatuonekani ila tunaweza kujua wewe umelelewa kwenye familia ya namna ganiMjinga mama yako aliyezaa litoto lisilokuwa na faida.Afadhali baba yako angetumia mkono.