Morogoro ndio mkoa uliotoa vipaji vingi Tanzania kuliko mikoa mingine.

Morogoro ndio mkoa uliotoa vipaji vingi Tanzania kuliko mikoa mingine.

Mkoa wa morogoro ndio tunu ya sanaa, burudani na michezo. Huo mkoa umetoa vipaji adhimu na adimu sana na ndio tegemeo kubwa kwa taifa kwenye kuzalisha burudani na michezo. Hapo Morogoro wametoka akina Albert Mangwea, mbaraka mwinshehe , twaha kiduku, francis Cheka, shomari kapombe n.k. Huwezi kwa sasa Tanzania kuulinganisha mkoa wa morogoro kwenye burudani na michezo na mkoa wowote ule hata kigoma bado ipo mbali na itasubiri kwa morogoro View attachment 2365081
kwa mpira, mkoa wa kigoma-waha na wamanyema ndiyo wanaoongoza. labda wewe umezaliwa juzi juzi tu hao akina kapombe hawajawafikia akina makumbi Juma, Lunyamili, abeid mziba, said swed "scud" etc
 
Tumia akili wewe akina mogella ni wa wali? Akina kilambo na kaburu ni wa wapi?
 
Unaikumbuka reli mtibwa moro united tumbaku n.k moro imetoa vipaji vya mpira sana hata national team ukiangalia akina job kapombe mzamiru
Unakumbuka African sports,mgambo , coastal union na bado zipo kibao kwa bado sana nyie kuifikia Tanga hata nusu
 
Hivi zaidi ya Shakila,Mgunda na Mwameja nani mwingine? Ali Maumba?
Tuishie hapa !!! List ni ndefu mno na hyo tuishie hapa!! ni ngoma ya sani ft darasa akitokea Tanga😂😂😂

Filamu ya kwanza ni Tanga ,maukumbi ya cinema Tanga anaongea nn huyo Tanga ndo lango la burudani zote bongo fleva walikuja kuwaaachia watu wa kigoma ndo mpaka sasa wako kweny moto

Anaongelea Moro Wana mabondia wa mchangani hata kigoma Wana kaseba Wana wasanii kibao .

Moro wasanii hakuna mwaka walidominate game la bongo fleva
 
Ili mjadala huu uwe mtaamu tafadhali hebu tuweke majina ya watu wenye vipaji wa mikoa hiyo.

Halafu tupigie kura kiroho safi, Tanzania ni yetu sote.
Namtajia mpaka machotar wakina Fernandez hao Wana makazi Tanga baba ake huyo mwanzilishi wa Tala,yusuph yurary mchezaji wa Denmark baba ake ni mdigo wa Tanga, wakina Antony nugaz wote

Watanga ni wakimya sana ukiona mtu katulia wengi ni watanga sema hawapendi sifa sifa
 
Namtajia mpaka machotar wakina Fernandez hao Wana makazi Tanga baba ake huyo mwanzilishi wa Tala,yusuph yurary mchezaji wa Denmark baba ake ni mdigo wa Tanga, wakina Antony nugaz wote

Watanga ni wakimya sana ukiona mtu katulia wengi ni watanga sema hawapendi sifa sifa
Mimi siikatai talent ya Tanga ila nafikiria inashika namba tatu baada ya Moro na Kigoma.
 
Mkoa wa morogoro ndio tunu ya sanaa, burudani na michezo. Huo mkoa umetoa vipaji adhimu na adimu sana na ndio tegemeo kubwa kwa taifa kwenye kuzalisha burudani na michezo. Hapo Morogoro wametoka akina Albert Mangwea, mbaraka mwinshehe , twaha kiduku, francis Cheka, shomari kapombe n.k. Huwezi kwa sasa Tanzania kuulinganisha mkoa wa morogoro kwenye burudani na michezo na mkoa wowote ule hata kigoma bado ipo mbali na itasubiri kwa morogoro View attachment 2365081
Umetaja wachache katika wengi mno
 
Uko sahihi,kigoma,morogoro ba tanga ndio inaongoza kwa talent
Lakini picha ya mbaraka mwinshehe sijajua inafuata nini hapo
Mbaraka alipitia morogoro jazz na super volcano zote za morogoro ila hakuwa mlugulu bali alikuwa mdoe
Kumbuka alifia kenya kwa ajali.
Sasa siku maiti yake inaletwa tanzania msafara kufika chalinze watu wakajua utakunja kulia,badala yake ukakunja kushoto,hakuzikwa morogoro
mdoe ndio kabila lipi hilo,wanapatikana wapi lugha yao ikoje inaongelewa wapi
 
Back
Top Bottom