Namna hawa mawakili wa serikali wanavyosimamia mambo yao mahakamani inatia shaka sana, kesi nyingi wanashindwa.
Kwa hali ilivyo siku hizi, hata muhalifu akipata wakili mzuri akamsimamia kwenye kesi yake atashinda kesi, tumeona kilichotokea kwa Sabaya licha ya yale yote aliyotenda.
Naamini hata huko mbele tuendako, maamuzi ya aina hii yataendelea kutokea mpaka pale hawa mawakili wa serikali watakapoamua kuwa serious na kazi yao, waache kufanya kazi kwa mazoea, hawana ushindani kabisa.