Moshi: Mahakama yamuachia huru Wendy Mrema aliyetuhumiwa kumuua mama yake mzazi na kumzika

Moshi: Mahakama yamuachia huru Wendy Mrema aliyetuhumiwa kumuua mama yake mzazi na kumzika

Yaani hii kesi na ivyoripotiwa na matokeo miye hoi, pia kama ilikuwa vile ilivyoripotiwa na kumbe sivyo binti wamemuharibia sana kitaa.
 
Namna hawa mawakili wa serikali wanavyosimamia mambo yao mahakamani inatia shaka sana, kesi nyingi wanashindwa.

Kwa hali ilivyo siku hizi, hata muhalifu akipata wakili mzuri akamsimamia kwenye kesi yake atashinda kesi, tumeona kilichotokea kwa Sabaya licha ya yale yote aliyotenda.

Naamini hata huko mbele tuendako, maamuzi ya aina hii yataendelea kutokea mpaka pale hawa mawakili wa serikali watakapoamua kuwa serious na kazi yao, waache kufanya kazi kwa mazoea, hawana ushindani kabisa.
Hapo wendi hajashinda kesi bali upande maombi yamewasilishwa na Upande wa Serikali kutokuwa na niya ya kuendelea na shauri.
TATIZO HUWA LINAANZIA WAPI??!
kwa kweli tatizo ni kwa Wananchi, tukio linapotokea wananchi au jamii haitoi ushirikiano kwa vyombo vya uchunguzi na ushahidi mahakamani.
Watu ni wepesi kusema mtaani ila si kutoa ushikiano kwa vyombo vya kiuchunguzi ili wanaostahili adhabu waipate.
Kwa hiyo tusitegemee kuona mtu anafungwa wakat ushahidi wa kumtia hatiani tumeukalia na hatutaki kutoa ushirikiano.
Sasa tuache kunungunika tutoe ushirikiano wa kutosha (ikiwa ni pamoja na baadhi tuhudhurie Mahakamani) alafu tuone kama watu wataachiwa kirahis tena.
 
Tunarejea kwenye kilinge kwa speed ya 6G

Mshana Jr
Ngoja tuomboleze msiba wa mashabiki wa watani zetu waliofariki jana usiku Msata
giphy.gif
 
Ngoja tuomboleze msiba wa mashabiki wa watani zetu waliofariki jana usiku Msata
giphy.gif
Mungu awalaze pema peponi marehemu watani zetu.

Mungu ampumzishe pema mama ambaye amekufa mysteriously na kesi kutupwa
 
Back
Top Bottom