Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
Sasa ilikuwaje chuma kikadondoshwa hali ya kuwa kilimiliki majeshi yote?Lazima kuwa katili dhidi ya mapanya.
Fyekelea mbali mafisadi mpaka yakachanganyikiwa yakaamua kumdondosha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chuma kile, hakikutepeta mpaka umautiii. Ni mwendo wa kukaza kamba kweli kweliiii ikibidi hadi uhai kutoka!
Ametufundisha somo kubwaa kwamba mafisadi na majizii yanahitaji kushughulikiwa kwa moto mkalii. Peleka moto kweli kwelii bila huruma.
JPM CHUMA!!!
Huoni alikuwa muoga aliyepitiliza hivyo aliamini mabavu yangesaidia kutisha watu na kujiweka salama?
Hata mwalimu asiyejua kufundisha huwa anakuwa mkali sana na mafimbo kibao mkononi ili wanafunzi wamuogope baada ya kugundua udhaifu wake.