Mpaka sasa unamshukuru Mungu kwa jambo gani kuu alilokutendea maishani mwako?

Kwahiyo Mheshimiwa, wamwaminio mungu ni vinyani na vingedere na vikima au sio?!... Hiyo emoji uliyomalizia nayo hapo inamaana gani?!

Ujue una utani sana Mheshimiwa?! 😂😂😂
 
Mbona umeandika comment ya kunifokea hivi kwa kweli sitajibu maswali yako mpaka utakapo weka chochote kitu tumboni (chai)
 
Mbona umeandika comment ya kunifokea hivi kwa kweli sitajibu maswali yako mpaka utakapo weka chochote kitu tumboni (chai)
Huwezi kujibu maswali yangu, kwa vile huyo Mungu unayesema amekupa mume bora ni uongo tu.

Ni juhudi zako binafsi ndizo zilikupatia huyo mume bora wako wala si huyo Mungu.

Kuna kundi kubwa la wanawake linamlilia na kumuomba huyo Mungu wapate waume bora lakini hawapati.

Automatically huyo Mungu wa kutoa mume bora hayupo, ni juhudi zako binafsi ndizo zilikupatia huyo mume wako bora.
 
Ni lipi hasa ungependa kupata uthibitisho kulihusu? Au unataka umuone Mungu kwa macho yako kabisa?
Thibitisha huyo Mungu ni nini?

Ulijuaje yupo?

Unathibitishaje yupo?

Na si hadithi na mawazo yenu ya kufikirika tu mliyo aminishwa na kukaririshwa na dini zenu.
 
Thibitisha huyo Mungu ni nini?

Ulijuaje yupo?

Unathibitishaje yupo?

Na si hadithi na mawazo yenu ya kufikirika tu mliyo aminishwa na kukaririshwa na dini zenu.
Kueleza kuhusu Mungu pasipo kutumia vitabu vyake haiwezekani. Kama huamini ni maamuzi yako tu mkuu, be free with your Reasoning and humanist beliefs.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…