Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Umerithishwa kiwanda nini ndugu much know... Au unaibia watu mtandaoni, TIGOPESA na SELCOM...Cha kwanza kuniumba mwanaume Cha pili kunijalia kuipata riziki kwa wepesi kwani sihangaiki kuipata kama watu wengine
Nakomaa!Kuna maamuzi fulani nilifanya in my twenties!Bado naendelea kupambana!Kaka kumbe uko njema eeehhh!!
Hongera.
Mkuu, wakati wa ibada huu, wacha niende nikirudi tutaendeleaSio mtazamo wangu tu.
Ni ukweli kwamba mpaka sasa hujathibitisha Mungu yupo.
Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Ibada nayo ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.Mkuu, wakati wa ibada huu, wacha niende nikirudi tutaendelea
Mkuu nimerudi, ibada ilikuwa ndefu kdgo.Ibada nayo ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Mkuu,Mkuu nimerudi, ibada ilikuwa ndefu kdgo.
Hapo juu umeandika vizuri sana, kweli kabisa yeye ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo na upendo kwa wote.
Mkuu una muda tuzungumzie niliyo jifunza wakati nimeenda ibadani?Mkuu,
Sijaandika yeye ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote.
Nimeandika Mungu huyo hayupo.
Wewe hujui kusoma.
Na huo ni uthibitisho mwingine Mungu hayupo.
Angekuwepo, ungejua kusoma kwa ufahamu.
Mabaya, maovu na mateso ni matokeo ya dhambi, na kwa kuwa tunaishi katika Ulimwengu wa dhambi nina kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai, neema na rehema zake kwani hata nyakati za magumu bado alinipa amani ya moyo na ujasiri wa kushinda.Hata mabaya, maovu na mateso sio?
Kwanza anza kuthibitisha Mungu yupo, unataka kunifundisha habari za ibada ya Mungu ambaye hata kuthibitisha yupo hujathibitisha?Mkuu una muda tuzungumzie niliyo jifunza wakati nimeenda ibadani?
Mkuu, humu tunatumia maandishi, sasa kama ni uthibitisho lazma niuweke kimaandishi.Kwanza anza kuthibitisha Mungu yupo, unataka kunifundisha habari za ibada ya Mungu ambaye hata kuthibitisha yupo hujathibitisha?
Hahaa BICHWA KOMWE - ni mshangazi mapepe
Huu si uthibitisho.Mkuu, humu tunatumia maandishi, sasa kama ni uthibitisho lazma niuweke kimaandishi.
Na uthibitisho huo ni kwamba Mungu yupo, whether you accept it or not.
Hakuna hoja ambayo utaelewa kwani tayari huamini na upo tayari kupinga chochote unacho ambiwa, Mungu yupo whether you accept it or notHuu si uthibitisho.
Hii ni kulazimisha kitu kwa nguvu bila kuwa na hoja.
Asee ni pumzi jombaaa..Achilia mbali zawadi ya uhai, afya na maisha aliyokujalia na bado anakukirimia wewe na mimi bure bila malipo wala gharama yoyote....
Nafahamu, Mungu amekutendea mambo mengi mno maishani mwako, na huenda ukiulizwa kuyasema, kwasababu ya muda na ufinyu wa platforms, usimalize kuyaorodhesha yote...
Hebu mbele ya hadhara hii ya familia ya wanaJF,
Shuhudia matendo mema na makuu ya Mungu kwa uchache, alioyokutendea maishani mwako, ili kwa pamoja kama watoto wa Mungu, tushuhudie sifa na utukufu wake kwa watoto wake katika ulimwengu huu....
Neema na Baraka za Mungu, ziandamane na kuambatana nawe daima, katika familia yako, kazi na majukumu yako ya kila siku daima na milele....
Amen..
Bado unalazimisha badala ya kuthibitisha.Hakuna hoja ambayo utaelewa kwani tayari huamini na upo tayari kupinga chochote unacho ambiwa, Mungu yupo whether you accept it or not
Uliyeandika uzi huu ukiuliza hili swali; uko hai?Achilia mbali zawadi ya uhai, afya na maisha aliyokujalia na bado anakukirimia wewe na mimi bure bila malipo wala gharama yoyote....
Nafahamu, Mungu amekutendea mambo mengi mno maishani mwako, na huenda ukiulizwa kuyasema, kwasababu ya muda na ufinyu wa platforms, usimalize kuyaorodhesha yote...
Hebu mbele ya hadhara hii ya familia ya wanaJF,
Shuhudia matendo mema na makuu ya Mungu kwa uchache, alioyokutendea maishani mwako, ili kwa pamoja kama watoto wa Mungu, tushuhudie sifa na utukufu wake kwa watoto wake katika ulimwengu huu....
Neema na Baraka za Mungu, ziandamane na kuambatana nawe daima, katika familia yako, kazi na majukumu yako ya kila siku daima na milele....
Amen..
Mkuu wakati wa ibada umefika tena, wacha niende, narudi tunaendeleaBado unalazimisha badala ya kuthibitisha.
Thibitisha, usilazimishe.