Mpambano wa Freeman Mbowe na Tundu Lissu: Wajue wagombea hawa wawili

Kwa utafiti wangu siyo kweli ila ni propaganda tu za uchaguzi

Kama kuna mwenye ushahidi wa kweli auweke hadharani na kutaja jina la huyo kiongozi ambaye michango inaingia kwa sababu kwenye hizi simu miamala ya kifedha siyo
Anaaminika na nani? unaona jinsi ambavyo reasoning yako ilivyo? Mimi kumwamini Lissu ni upuuzi ila wewe kumwamini Mnyika ni sahihi sio?

Hamna media hapa nisamehe kusema ni uchafu tu
Uko desparate sana ndugu, nakushauri tu tafuta kura kwa mgombea unayemtaka, usitukane mpinzani wako wala asiyeunga mkono mgombea wako

Kushutumu na kutoa propaganda za uongo utafiti umeonyesha hausaidii sana wagombea kupata kura

Kura ni ushawishi lakini wa ukweli.Matusi , shutuma na kujimilikisha ukweli siyo sababu ya kupata kura.Kila mtu ana mtazamo tofauti.Na kuwa na mtazamo tofauti siyo ugomvi kwa mwanademokrasia bali kwa madikteta waliokubuhu
 
Ni vizuri sasa kwa vile umesema una mgombea wako ukamshauri ajikite kushawishi wajumbe wa mkutano mkuu wampe ridhaa.Kushinda uchaguzi ni ushawishi wa hoja na sera.Bila kufafanua vizuri sera zako unaweza usieleweke vyema.
Nani kakuambia kuwa sera ndio lazima ziamue mshindi?
 
Nani kakuambia kuwa sera ndio lazima ziamue mshindi?
Kwa mpiga kura anayejitambua anasikiliza sera na ukweli wa mtu anachozungumza, hatacukimtizama usoni unasema huyu kweli anamaanisha na siyo propaganda za uchaguzi
 
Kwa mpiga kura anayejitambua anasikiliza sera na ukweli wa mtu anachozungumza, hatacukimtizama usoni unasema huyu kweli anamaanisha na siyo propaganda za uchaguzi
Kuna hao wapiga kura wanaojitambua? Kwenye rushwa kujitambua ni porojo isiyo na mashiko.
 
Kwanini unapanga uhalifu wa kutoa rushwa? Kiongozi halali wa Chadema hatapatikana kwa kutoa rushwa bali kwa sera nzuri za mgombea.Nimushauri kama ulipanga hivyo uachane kabisa na mpango huo haramu
Kwamba unaamini bado hatujui uhalisia wa chaguzi zinazoendeshwa na viongozi wanaotaka kutoka madarakani wakiwa na miaka 68?
 
Kwamba unaamini bado hatujui uhalisia wa chaguzi zinazoendeshwa na viongozi wanaotaka kutoka madarakani wakiwa na miaka 68?
No evidence no right to speak.Huwezi kutuhumu tu bila ushahidi wowote ukaeleweka.Leo hii kuna watu wanatuhumu watu wa Lissu wananunua wajumbe na pia kuna wanaotuhumu upande wa Mbowe.Sasa je tutakurupuka tu kumtusi huyu au yule anatoa rushwa bila ushahidi? Tuache porojo za mtaani tysubiri wajumbe waamue nasi tuheshimu mawazo yao
 
Wapi umeona watu wakituhumu watu wa Lisu kuhonga? Lisu ana hela gani ha kuhonga? Au hapa ndio unadhani utanipoteza maboya boss? Naona ni kama umeishiwa na hoja za utetezi wa huyo king'ang'anizi wa madaraka. Wajumbe gani waamue, waamue watakacho lakini tunachokitaka tunakijua.
 
Nyie ndo mmemshauri vibaya mwamba kusudi adhalilike mfurahi...yaani mbowe leo hii ni wa kusubiri mbeleko za wajumbe kushinda uenyekiti...kweli?!.
Kwasabb ni dhahiri haungwi mkono na wanachama wengi wa kawaida (wasio na haki kikatiba kupiga kura).
 
Unapokuwa umeshajipambanua wewe unamuunga mkono nani siku zote mtu unajitia upofu kwamba mtu wako ni malaika na ndiye mkweli kuliko watu wote duniani.

Hiyo ndiyo shida ya kuunga mkono kundi fulani huwezi kuona makosa kwa hilo kundi na badala yake utajaribu kutumia kila njia kupaka matope na kuchafua upande wa pili ili waonekane hawafai.

Ushauri ninaoweza kukupa ni kufuatilia sera za wagombea na kujiondoa kwenye kundi hatari linalojulikana kama wapambe

Ukishaingia kwenye kundi la upambe huwezi kuona mapungufu ya kundi lako

Na ndipo sasa mgombea unayemtaka akishindwa utaanza kusingizia kila aina ya uongo kujifariji
 
Nyie ndo mmemshauri vibaya mwamba kusudi adhalilike mfurahi...yaani mbowe leo hii ni wa kusubiri mbeleko za wajumbe kushinda uenyekiti...kweli?!.
Kwasabb ni dhahiri haungwi mkono na wanachama wengi wa kawaida (wasio na haki kikatiba kupiga kura).
Wajumbe wanaopiga kura wanapatikana kwa kupigiwa kura na wanachama kwa hiyo mgombea atakayeshinda atakuwa chaguo la wanachama wote
 
Umeandika nini hiki mkuu au lengo lako ni kutangaza tu kuwa una miliki media?
 
Nasisitiza tena, si lazima hizo unazoita sera ndio zitoe mshindi, rushwa ina nafasi kubwa kwenye chaguzi hizi.
 
Hoja mojawapo ni kuwa Mbowe kafikia mwisho wa kukalia kiti hicho, na hili ni takwa la wakati. Mgombea wangu kashasema akipata hiyo nafasi atafanya nini. Ifahamike kuambiwa ukweli si kuchafuliwa.
... hayo ni maoni yako! Demokrasia inakutaka kuheshimu maoni ya wengine pia!
BOKSI LA KURA!
 
Jifunze kwa Uncle Pascal Mayalla anavyoandika maandiko yake.
Mkuu Manya,@manyanza, asante sana,hilo jamaa ni moja viongozi wakubwa tuu pale kwao,lakini ni lijitu lijinga ajabu!,stalisahau, limenichafulia CV yangu ya jf nikapigwa ban yangu ya kwanza na ya mwisho humu jf,kuna mtu analijua,akalitaja humu kuwa hili jamaa ni nani pale ufipa, akalutaja jina na cheo chake, mimi nika reply hiyo post,kwa kusema siamini ofisa mkubwa hivyo anaweza kuposti utumbo humu,lijamaa likaniripoti kwa mode kuwa ni mimi ndio nimelitaja jina lake na cheo chake hivyo kufanya kosa la name calling, nikala ban!。Nilikasirika ssna na siku hiyo ndio ingekuwa mwisho wangu jf,nikamwambia mode aliyemtaja jina sio mimi, mimi nime reply tuu, ndipo nikafunguliwa。
P
 
mmepewa hela kuja kumpamba na kumtetea Mbowe na kumsema vibaya Lissu hivi mna akili timamu?
weka ushahidi wa hicho hapo, short of this wewe ndiye mjinga kudakia mambo ya mitandaoni ukayaamini bila ushahidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…