Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NEC ni kituko dunia nzima wanajua kuwa mahera ni empty
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?
Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Wakati muafaka wa kuendeleza propaganda .... ... tunahesabu siku tu sasa wazandiki wote watakiona cha ntema kuni.
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?
Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Asumbuke vipi wakati uchaguzi mchanahii ni hujuma tu,iweje jina la Lissu liwe la mwisho. ili mpiga kura asumbuke kulipata
AminaIli lipate kutimia lile neno kuwa "wa mwisho atakuwa wa kwanza".
Usimuamshe aliyelala.Hapo walipomuweka ndio anaonekana vizuri, wale raia mnawaambia tia tick yule wa mwisho.
Kwanini haukufuata mtiririko wa kialfabeti?
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?
Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Mpangilio umefuatwa kulingana na jinsi wagombea walivyorudisha fomu zao za uteuzi.
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?
Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Sawa!Lakini wasije wakakiondoa kipande cha mwisho.NEC wamesema kama Wagombea walivyoenda Kuchukua Fomu za Kugombea hapo Kwao NEC basi ndiyo nao Wamepangwa hivyo hivyo Karatasini.
Kuna uhusiano gano kati ya kusumbuka na mchana??? Wewe hujawahi sumbuka mchana/asubuhiAsumbuke vipi wakati uchaguzi mchana
Usiwe na wasiwasi kiongozi kuhusiana na huu mpangilio. Wamehasau kuwa Mungu humuinua mtumishi wake kutoka kwenye familia ya wanyonye na wanyenyekevu ili kuongoza taifa lake. Hakika Mungu wetu ni mkuu sana.
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?
Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
AmenMpangilio wa alphabeti ndiyo ambao unakubalika kimataifa. Sijui hii imekaaje! Ila busara na hekima hutupa mantiki ya kuwa aliye wa kwanza huja kuwa wa mwisho, na wa mwisho huwa ni wa kwanza.
Wa wapumbavu na wanaofanya propaganda.Iwe mvua au liwake Jua lissu Ni raisi
Haya majinamizi ya nec wanachokitafuta mda mrefu kimekaribia sana kutokea.
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?
Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
True kabisa watu watulie kabisa wasiwastue,vipi awawezi badili mpangilioMsiwanue sasa wakaja kubadilisha , hiyo imekaa poa waiache hivyohivyo hakuna shida...