Uchaguzi 2020 Mpangilio wa Majina ya vyama kwenye Karatasi ya kupigia kura ulizingatia nini?

Uchaguzi 2020 Mpangilio wa Majina ya vyama kwenye Karatasi ya kupigia kura ulizingatia nini?

Wapiga Kura wengi Siku ya Kupiga Kura huwa hawataki na wala hawapendi sana 'Kujichosha' na huwapigia wa Kwanza na wa Mwisho ataachwa tu.
Uzuri wa safari hii wapiga kura walishachoshwa sana kwa miaka mitano, kwa hiyo hawawezi kushindwa kujichosha tu siku yenyewe ikifika kwa kuweka alama ya vema kwa yule wanayemtaka.
 
Mpangilio wa alphabeti ndiyo ambao unakubalika kimataifa. Sijui hii imekaaje! Ila busara na hekima hutupa mantiki ya kuwa aliye wa kwanza huja kuwa wa mwisho, na wa mwisho huwa ni wa kwanza.
Mwaka huu itakuwa zaidi ya Jecha. Huyu Mahela aneshaonyesha mwelekeo wake mspema sana....!!
 
Ni kweli kabisa, uzuri wapiga kura wote wa cdm wanajua kusoma. Hivyo hata cdm ikiwa nyuma ya karatasi watu watapeleka moto huko huko.
Huu mfumo walifanya kukomoa ila ndo mtamu ,ni mwendo wa kusema weka tiki wa mwisho
 
Uzuri wa safari hii wapiga kura walishachoshwa sana kwa miaka mitano, kwa hiyo hawawezi kushindwa kujichosha tu siku yenyewe ikifika kwa kuweka alama ya vema kwa yule wanayemtaka.
Kweli mmeamua mwaka huu japo 'Ushindi' utarudi kule kule kwa aliyenacho / aliyepewa kama ambavyo hata Vitabu vya Mungu vimeelezea vyema.
 
Huu mpangilio mzuri sana, wao walijifanya kukomoa ila unawaambia laymen kuwa tiki yule wa mwisho. Angepachikwa katikati ingeleta ugumu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huu mpangilio mzuri sana, wao walijifanya kukomoa ila unawaambia laymen kuwa tiki yule wa mwisho. Angepachikwa katikati ingeleta ugumu.
Kabisa, ili kumkomoa Lissu, wangeiweka chadema katikati, kuiweka chadema mwishoni ni sawa na kumpiga chura teke.
 
Mkuu ukijibiwa kwa hoja hata moja yenye mashiko ntatembea bila nguo.
 
Hapa wasimamizi mnaraha sana mfano kama mtu hajui kusoma anakuuliza unamwambia tu "weka tu huko mwishoni"
 

Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).

Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?

Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Kiwewe cha kushindwa? Au kitete?
 
CHADEMA waambieni wapiga kura wawe makini. Haya majangili wametoa huo kama mfano, kuna watu wataondoka nayo akilini wakijua CHADEMA ni ya mwisho, kwenye karayasi halisi ikawekwa katikati
 
2015 walifata mpangilio Alphabetically.

Naona mwaka huu wameamua kufanya kituko, inawezekana wakaweka jina la chadema upande wa nyuma wa karatasi.

Sitashangaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu mwaka jana wakaengua wagombea uchaguzi serikali za mitaa kisa walijaza CHADEMA badala ya Chama cha demokrasia na maendeleo
Na mwaka huu wamefanya hivyohivyo kwa ACT Wazalendo kule Zenj.
 
Wakati wa kupiga kura itakua inaonekana nani na mani wamempigia kura lissu au magu.

Sasa wale wasaliti waliowekewa waangalizi taarifa tutakua nazo
 
2015 walifata mpangilio Alphabetically.

Naona mwaka huu wameamua kufanya kituko, inawezekana wakaweka jina la chadema upande wa nyuma wa karatasi.

Sitashangaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu mwaka jana wakaengua wagombea uchaguzi serikali za mitaa kisa walijaza CHADEMA badala ya Chama cha demokrasia na maendeleo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom