Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
NEC wamesema kama Wagombea walivyoenda Kuchukua Fomu za Kugombea hapo Kwao NEC basi ndiyo nao Wamepangwa hivyo hivyo Karatasini.
Ni kweli kabisa, uzuri wapiga kura wote wa cdm wanajua kusoma. Hivyo hata cdm ikiwa nyuma ya karatasi watu watapeleka moto huko huko.