Uchaguzi 2020 Mpangilio wa Majina ya vyama kwenye Karatasi ya kupigia kura ulizingatia nini?

Uchaguzi 2020 Mpangilio wa Majina ya vyama kwenye Karatasi ya kupigia kura ulizingatia nini?

Wameamua kuwaweka wapinzani wawili mbalimbali ili wale watu wanaotetemeka wasije kukosea kupiga tiki.

Tarehe 28 nikiingia chumba Cha kupigia kura, nachukua kalamu, pale namba moja nachora zombie halafu tiki napiga chini kabisaaa.(natania tu)
 

Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).

Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?

Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Halafu wanaanza na herufi C ya CCM wakati kunavyama vinaanza na A.
Kingine Magufuli kawekewa title wakati kina Lipumba wanazo na hawajekewa maana hazitakiwi.
Yani Mahera na lile domo amekaa kiwizi wizii
 
NEC wamesema kama Wagombea walivyoenda Kuchukua Fomu za Kugombea hapo Kwao NEC basi ndiyo nao Wamepangwa hivyo hivyo Karatasini.
Lakini kina Membe na Lipumba walikuja kuchukua fomu baada ya Lissu, Labda waseme ni mpangilio wa uteuzi wa kugombea, maana Lissu alikaa nao mpaka usiku
 

Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).

Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?

Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Hii imekaa poa ni mpango wa Mungu usiwastue wakabadili
 
Wameamua kuwaweka wapinzani wawili mbalimbali ili wale watu wanaotetemeka wasije kukosea kupiga tiki.

Tarehe 28 nikiingia chumba Cha kupigia kura, nachukua kalamu, pale namba moja nachora zombie halafu tiki napiga chini kabisaaa.
Ukifanya hivyo kura inaharibika mkuu
 

Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).

Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?

Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Nafikiri wameanza na chama tawala na vyama vyake washirika!!!
 
2015 walifata mpangilio Alphabetically.

Naona mwaka huu wameamua kufanya kituko, inawezekana wakaweka jina la chadema upande wa nyuma wa karatasi.

Sitashangaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu mwaka jana wakaengua wagombea uchaguzi serikali za mitaa kisa walijaza CHADEMA badala ya Chama cha demokrasia na maendeleo
Hao watumishi wanaoandaa hizo karatasi akili zao hazina akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).

Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?

Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Wa kwanza Chama Tawala, halafu wa mwisho Chama Kikuu cha upinzani.
 
Lakini kina Membe na Lipumba walikuja kuchukua fomu baada ya Lissu, Labda waseme ni mpangilio wa uteuzi wa kugombea, maana Lissu alikaa nao mpaka usiku
Na 'Kisaikolojia' Jina lako pamoja na Picha yako ( Nyago lako ) vikiwekwa kuanzia Namba 12 hadi 14 tu jua ni ya 'Adhabu' ya 'Kimkakati' Kwako pia.
 
Na 'Kisaikolojia' Jina lako pamoja na Picha yako ( Nyago lako ) vikiwekwa kuanzia Namba 12 hadi 14 tu jua ni ya 'Adhabu' ya 'Kimkakati' Kwako pia.
Ila kwa upande wa pili ni kumpiga chura teke, kwa wale waiojua kusoma vizuri au wanaokuwa na kiwewe cha kupiga kura wataambiwa tu piga kura pale chini kabisa ni jina la mwisho, sema kwa Tume yetu "huru" wanaweza kuwa huru kubadilisha hizo karatasi tena na kuweka mpendwa wao chini
 

Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).

Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?

Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
CHADEMA HAIKO BOLDED
 
Hiyo iko poa mbona, hata wangeweka Jina lake page ya nyuma hakuna shida, mimi nikafikiri Jina la Lisu halipo[emoji2]
 
Ila kwa upande wa pili ni kumpiga chura teke, kwa wale waiojua kusoma vizuri au wanaokuwa na kiwewe cha kupiga kura wataambiwa tu piga kura pale chini kabisa ni jina la mwisho, sema kwa Tume yetu "huru" wanaweza kuwa huru kubadilisha hizo karatasi tena na kuweka mpendwa wao chini
Wapiga Kura wengi Siku ya Kupiga Kura huwa hawataki na wala hawapendi sana 'Kujichosha' na huwapigia wa Kwanza na wa Mwisho ataachwa tu.
 

Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).

Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?

Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Lengo kuibeba CCM mtu anaambiwa ukiona jina la kwanza chagua hata kama hajui kusoma
 
Back
Top Bottom