Uchaguzi 2020 Mpangilio wa Majina ya vyama kwenye Karatasi ya kupigia kura ulizingatia nini?

Uchaguzi 2020 Mpangilio wa Majina ya vyama kwenye Karatasi ya kupigia kura ulizingatia nini?

Hapo unaweza kuta kwenye karatasi zenyewe mambo yakawa yapo tofauti ili kutoa watu kwenye reli bt nadhani kabla ya uchaguzi watabandika hyo karatsi ili watu wapate kuona kabla ya zoezi lenyewe
 

Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).

Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?

Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
WA MWISHO NDIYE MSHINDI

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 

Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).

Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?

Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .

“Mfano wa karatasi ya uchaguzi wa Rais”
 
Una akili sana. Na kweli kila mbinu mbovu waliofanya imewafaidisha CHADEMA. Hii nayo inakwenda kuwasaidia CHADEMA pia. Ila wasiiseme kwanza. Manyang'au yanaweza kurudi kiwandani yakalipa pesa za kubadilisha makaratasi tena.
Huu mpangilio mzuri sana, wao walijifanya kukomoa ila unawaambia laymen kuwa tiki yule wa mwisho. Angepachikwa katikati ingeleta ugumu.
 
Kwa hizi siku chache zilizobaki tunapaswa kuwaelekeza wananchi wote kwamba Tundu Lissu na chadema wako mwisho wa karatasi , wekeni alama ya Vema hapohapo
 
Back
Top Bottom