Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnama lazima apatikane wa kuwekwa mwisho alafu muda mwingine tukomplein mambo yenye tija sio Kila kitu kinachofanywa na tume Ni kibayahii ni hujuma tu,iweje jina la Lissu liwe la mwisho. ili mpiga kura asumbuke kulipata
[emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo bado ni nyepesi Sana
Wangeweka katikati pembeni ya chauma kidogo labda ingesaidia katika hilo walilokusudia
Ila hapo ni Kama gwaride tu wa mwisho ndiyo namba
Mkuu maandiko yako vizuri kichwani kwako agiza pepsi chap nitalipaIli lipate kutimia lile neno kuwa "wa mwisho atakuwa wa kwanza".
WA MWISHO NDIYE MSHINDI
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?
Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Sio kweli, hivi ndivyo ilivyoHuo ni mfano Boss.. siyo kitu halisi.. katika karatasi Halisi waweza kukuta CHADEMA Ndo no.1
Ule uzi wetu "WA MWISHO NDIYE MSHINDI"Huu mpangilio mzuri sana, wao walijifanya kukomoa ila unawaambia laymen kuwa tiki yule wa mwisho. Angepachikwa katikati ingeleta ugumu.
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?
Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Ni rahisi kuelekeza, ibaki hivyo hivyo unawaambia watu pigia wa mwishohii ni hujuma tu,iweje jina la Lissu liwe la mwisho. ili mpiga kura asumbuke kulipata
hii ni hujuma tu,iweje jina la Lissu liwe la mwisho. ili mpiga kura asumbuke kulipata
Usiwafanye wakaiweka CCM mwisho na Chadema kwanza😂😂Huu mpangilio mzuri sana, wao walijifanya kukomoa ila unawaambia laymen kuwa tiki yule wa mwisho. Angepachikwa katikati ingeleta ugumu.
Nileeeteeeeeni maheraaaaaa nimnase makofiMalekezo kutoka juu [emoji23][emoji23][emoji23]
Huu mpangilio mzuri sana, wao walijifanya kukomoa ila unawaambia laymen kuwa tiki yule wa mwisho. Angepachikwa katikati ingeleta ugumu.
OvaIli lipate kutimia lile neno kuwa "wa mwisho atakuwa wa kwanza".
Imezingatia kiwango cha uelewa na uvivu wa kusoma wa wapigakura wetu.
Maoni
Kiutaratibu mtiririko wa alfabeti inapaswa kuwa hivi:Huo ni mfano Boss.. siyo kitu halisi.. katika karatasi Halisi waweza kukuta CHADEMA Ndo no.1