Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Miaka yote huwa wanafuata Alphabet in Ascending order naona mwaka huu CCM wamepindua meza Maana ACT ingekuwa juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamesema hiyo ni karatasi ya mfano. Kwahiyo tunaamini itakuwa kama inavyoonekana.Usifanye huu ujinga. Siku ya mwisho atakuwa sehemu nyingine. Huo ni mfano tu.
Km alipitishwa na nec atakuwepo tu.Naomba niulize .
Hivi ikatokea wakati nipo kwa kile "kiambaza " cha kupiga kura then nikute mgombea wangu hayupo kabisa nafanyaje?
Mbinu za kototo sanaMiaka yote huwa wanafuata Alphabet in Ascending order naona mwaka huu CCM wamepindua meza Maana ACT ingekuwa juu
Bado siamini Tume inaweza kufanya ujinga kama huu...hii ni aibu! Hata hivyo nina imani na wapiga kura, huu ujinga wa Tume unaweza kuwarudia wao wenyewe. Kwa kuwa adui nambari wani wa taifa ni CCM na hivyo ukichagua nambari wani umechagua adui.Miaka yote huwa wanafuata Alphabet in Ascending order naona mwaka huu CCM wamepindua meza Maana ACT ingekuwa juu
Wameamua kuwaweka wapinzani wawili mbalimbali ili wale watu wanaotetemeka wasije kukosea kupiga tiki.
Tarehe 28 nikiingia chumba Cha kupigia kura, nachukua kalamu, pale namba moja nachora zombie halafu tiki napiga chini kabisaaa.(natania tu)
2015 walifata mpangilio Alphabetically.
Naona mwaka huu wameamua kufanya kituko, inawezekana wakaweka jina la chadema upande wa nyuma wa karatasi.
Sitashangaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu mwaka jana wakaengua wagombea uchaguzi serikali za mitaa kisa walijaza CHADEMA badala ya Chama cha demokrasia na maendeleo
Mahera akili yake ina kutu
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?
Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Mahera anasemaje ?mimi nimejiuliza maswali mengi,nilichogundua ni kwamba hawa jamaa wametumia jinsi wagombea walivyorejesha fomu zao za uteuzi.nimefuatilia mgombea wa CCM alikuwa wa kwanza kurejesha fomu za uteuzi na mgombea wa CDM alikuwa wamwisho kukabidhi fomu za uteuzi.ndio maana CCM imeonekana ya kwanza kwenye hizo karatasi na CDM kuwa yamwisho kwenye list.ni mtazamo nilioouona
Kimbelembele cha CCM kiwatoke puani, wapuuzi waahed!CHADEMA MMEPEWA FURSA ADHIMU, KUANZIA SASA ANZENI KUSHAWISHI WAPIGA KURA SIKU YA KUPIGA WACHAGUE MGOMBEA WA MWISHO NDIYE YEYE, Wasitazame kwengine, wakipewa fomu tu watiki mgombea wa mwisho kwenye karatasi ndiye YEYE HUYO
Magufuli hataki passport size yake kukaa karibu na passport size ya Tundu Lissu.Kiutaratibu mtiririko wa alfabeti inapaswa kuwa hivi:
AAFP
ADC
ADA -TADEA...