Uchaguzi 2020 Mpangilio wa Majina ya vyama kwenye Karatasi ya kupigia kura ulizingatia nini?

Uchaguzi 2020 Mpangilio wa Majina ya vyama kwenye Karatasi ya kupigia kura ulizingatia nini?

Hivi ndivyo ambavyo kura uharibika
Wameamua kuwaweka wapinzani wawili mbalimbali ili wale watu wanaotetemeka wasije kukosea kupiga tiki.

Tarehe 28 nikiingia chumba Cha kupigia kura, nachukua kalamu, pale namba moja nachora zombie halafu tiki napiga chini kabisaaa.(natania tu)
 
Baada ya kigogo2014 kuonekana kujua sana siri za serikali yaani kinachopangwa na kitakachotokea serikali imebuni utaratibu mpya wa kutoa taarifa flani ya uongo ili wapime upepo unawezakuta hapa hiyo sampo kwenye karatasi halisi ukakuta ccm na mgombea wake ndio wa mwisho hasa baada ya kuona chadema wanawataarifu watu wao kwamba mgombea wao ndio wa mwisho.

CCM imetumia mbinu zote mbaya kuhujumu matakwa ya wananchi kwenye sanduku la kura na imezimaliza zote hata hii mpya ya kutumia dola iliyotangazwa na bashiru ni ulaghai kwa dunia tu ukweli ni kwamba dola imetumia sana tangu zamani kuibakisha ccm madarakani (CCM NI CHAMA DOLA TANGU ENZI) Hivyo wadau wa haki,uhuru na maendeleo ya watu tuwe makini sana (MNYAMPAA LISSU WIFO FAFO SOKO A MONGO VEVE NDIO WE MUSSA WITYU WA FANUI TUNAIMANI UTATUVUSHA TU.) ✌✌👊💪👏
 
Huo ni mfano Boss.. siyo kitu halisi.. katika karatasi Halisi waweza kukuta CHADEMA Ndo no.1
Ushaambiwa huo ndo mfano wa halisi. Kama hii itakua kweli basi tutakua tumepata Tume ya ajabu sana kuwahi kutokea
 
Chadema Wana asili ya kushindwa katika kila Jambo.
 
Walidhani wakimweka lissu wa mwisho wapigakura hawatamwona kumbe, Sasa tumeisha jua Cha kufanya "chagua wagombea wagombea wa mwisho kwenye karatasi"
Yaani hii hata mimi nimeipenda, unaingia tu unakimbilia kule mwisho! Hii mbona hata vibibi vitaweza kupiga kura bila msaada wa mtu!!
 
Hizi ni funza za kichwani kabisa au fungus za mdomoni!! Sitaki kuamini kama mpangilio huu umeandikwa na mtu mwenye akili timamu, mwenye mke, watoto na mhitimu hata wa darasa la 2 kama lipo lakini. Hivi ushawahi kutana mtu amejaliwa vitu 2 mjinga na mpumbavu!
 
Kimbelembele cha CCM kiwatoke puani, wapuuzi waahed!
FB_IMG_1602762303501.jpg
 
Hizi ni funza za kichwani kabisa au fungus za mdomoni!! Sitaki kuamini kama mpangilio huu umeandikwa na mtu mwenye akili timamu, mwenye mke, watoto na mhitimu hata wa darasa la 2 kama lipo lakini. Hivi ushawahi kutana mtu amejaliwa vitu 2 mjinga na mpumbavu!
Ndio maana kila anayetumikia Tume ya uchaguzi Tanzania lazima adhalilike
 
Huo ni mfano siyo kama itavyokuwa japo CCM nimeona ni namba 1 na CUF namba mbili, mtu akasome chama chake kilipo na siyo huo mfano.
 
Hili halina ukakasi kabisa. Nimeona wakati wanatangaza kupokelewa kwa vifaa vya kupigia kura na vitakavyoanza kusambazwa. Hii ni kwa taarifa ya Habari ya usiku saa 2 ITV tizama. Namba moja CCM wengineo kufuata. Hata kama CDM iko mwisho hakuna asiyetambua wagomea wakuu ni hao. Basi mpiga kura kazi yako ni kuangalia pale mwisho penye Kile upendacho. Kwa wenye akili timamu kabisa huwezi weka alama kwenye rangi ya kijani kamwe. Utaendelea kuumia. Twende kazi moja tuu.
 

Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).

Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?

Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Sadakalau; kila wakala wa chama alichagua bahasha kwenye boksi ambayo ilikuwa na namba ya position ya chama chake kwenye ballot paper. Mawakala hawakukubaliana order youote, ndiyo maana njia hiyo ikatumika
 
Sadakalau; kila wakala wa chama alichagua bahasha kwenye boksi ambayo ilikuwa na namba ya position ya chama chake kwenye ballot paper. Mawakala hawakukubaliana order youote, ndiyo maana njia hiyo ikatumika
unaweza kuthibitisha hili ?
 
Back
Top Bottom