Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Just kidding! Siwezi kuthibitisha kwa vile sijawauliza Tume swali lolote kuhusu ballot paper hiyo.unaweza kuthibitisha hili ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Just kidding! Siwezi kuthibitisha kwa vile sijawauliza Tume swali lolote kuhusu ballot paper hiyo.unaweza kuthibitisha hili ?
asante kwa kumuogopa MunguJust kidding! Siwezi kuthibitisha kwa vile sijawauliza Tume swali lolote kuhusu ballot paper hiyo.
AhahahaMagufuli hataki passport size yake kukaa karibu na passport size ya Tundu Lissu.
The hate is real
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?
Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Randomization
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?
Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Mahali popote usajili wa majina hufanywa kwa mida tofauti lakini mwisho wa siku majina hayo hupangwa ki alphabet ili kurahisisha utafutaji wa jina na pia ni utaratibu wa kawaida katika mambo ya records. Pale referee anapokua na lake kichani, huweza toa adhabu kwa mchezaji wa timu moja hata sababu isiyo na msingi. Hili halikua na sababu yoyote kuhangaika na huo mpangilio usio leta maana katika taratibu za mipangilio.NEC wamesema kama Wagombea walivyoenda Kuchukua Fomu za Kugombea hapo Kwao NEC basi ndiyo nao Wamepangwa hivyo hivyo Karatasini.
Wewe akili ndogo sana. Unadhani wapiga kura wote wana umri kama wako?Asumbuke vipi wakati uchaguzi mchana
Ulizingatia kumweka kuku na vifaranga vyake kwanza vikae pamoja. Huwezi kumtenga mzazi na mwanae
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?
Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Ulizingatia "Wa kwanza atakuwa wa Mwisho na Wa Mwisho atakuwa wa Kwanza"
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?
Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Hii ni formula mpya?Wa kwanza Chama Tawala, halafu wa mwisho Chama Kikuu cha upinzani.
Ha ha ha haguys msiumie sana
Kumbuka Samwel alipokwenda nyumban kwa Yese kumpaka mafuta aliyechaguliwa na MUNGU kuwa mfalme. Daudi alikuwa wa mwisho tena hakuwepo kbs ilibidi akaitwe alipokuja MUNGU akasema huyu ndiye. Hivyo Lissu kuwa wa mwisho ni ishara ya kuwa anakwenda kuwa mfalme badala ya aliyepo. Jambo kubwa la kumkumbusha Lissu ni kwamba haita kuwa rahisi kwake. Atapitia njia za.Daudi kumtoa Sauli madarakani. So tuzidi kumuombea neema yaujasiri zaid hekima na busara
Kama walifata alphabetically ingeanza ADC au2015 walifata mpangilio Alphabetically.
Naona mwaka huu wameamua kufanya kituko, inawezekana wakaweka jina la chadema upande wa nyuma wa karatasi.
Sitashangaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu mwaka jana wakaengua wagombea uchaguzi serikali za mitaa kisa walijaza CHADEMA badala ya Chama cha demokrasia na maendeleo
Jina la Chama ndio linawekwa kulingana na Alphabet.
Kilichofannyika mwaka huu ni uoga na aibu kwa CCMView attachment 1602881View attachment 1602882View attachment 1602883
Kuna uwezekano mkubwa sana wa wapigakura kuchanganya kati ya CHADEMA na CHAUMA. Iwe kwa kudhamiria au vinginevyo herufi za CHAUMA zimeandikwa kwa ukubwa zaidi kuliko za CHADEMA nayo imeanza kabla. CHADEMA wafanye juhudi kuelimisha wapiga kura wao ilije wakampa kura mzee Rungwe bila kudhamiria.
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?
Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Mwenyewe nimeshangaa,sana.ni VP?
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?
Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?
Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .