Uchaguzi 2020 Mpangilio wa Majina ya vyama kwenye Karatasi ya kupigia kura ulizingatia nini?


Utashi wa mkurugenzi
 
Randomization
 
NEC wamesema kama Wagombea walivyoenda Kuchukua Fomu za Kugombea hapo Kwao NEC basi ndiyo nao Wamepangwa hivyo hivyo Karatasini.
Mahali popote usajili wa majina hufanywa kwa mida tofauti lakini mwisho wa siku majina hayo hupangwa ki alphabet ili kurahisisha utafutaji wa jina na pia ni utaratibu wa kawaida katika mambo ya records. Pale referee anapokua na lake kichani, huweza toa adhabu kwa mchezaji wa timu moja hata sababu isiyo na msingi. Hili halikua na sababu yoyote kuhangaika na huo mpangilio usio leta maana katika taratibu za mipangilio.
 
Ulizingatia kumweka kuku na vifaranga vyake kwanza vikae pamoja. Huwezi kumtenga mzazi na mwanae
 
guys msiumie sana
Kumbuka Samwel alipokwenda nyumban kwa Yese kumpaka mafuta aliyechaguliwa na MUNGU kuwa mfalme. Daudi alikuwa wa mwisho tena hakuwepo kbs ilibidi akaitwe alipokuja MUNGU akasema huyu ndiye. Hivyo Lissu kuwa wa mwisho ni ishara ya kuwa anakwenda kuwa mfalme badala ya aliyepo. Jambo kubwa la kumkumbusha Lissu ni kwamba haita kuwa rahisi kwake. Atapitia njia za.Daudi kumtoa Sauli madarakani. So tuzidi kumuombea neema yaujasiri zaid hekima na busara
 
Ulizingatia "Wa kwanza atakuwa wa Mwisho na Wa Mwisho atakuwa wa Kwanza"
 
Ha ha ha ha
 
Kama walifata alphabetically ingeanza ADC au

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Kuna uwezekano mkubwa sana wa wapigakura kuchanganya kati ya CHADEMA na CHAUMA. Iwe kwa kudhamiria au vinginevyo herufi za CHAUMA zimeandikwa kwa ukubwa zaidi kuliko za CHADEMA nayo imeanza kabla. CHADEMA wafanye juhudi kuelimisha wapiga kura wao ilije wakampa kura mzee Rungwe bila kudhamiria.
 
Saccos kwa kulalamika, hamjambo. Kama mtu ana mahaba na ninyi atawapa tu hata kama mpo uvunguni.
 
Mwenyewe nimeshangaa,sana.ni VP?
 
Mi naona Wameturahisishia sana.hupotezi muda. Unashuka chini moja kwa moja..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…