Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,106
- 6,678
Mimi
Elimu yangu ni kidato cha nne japo nilifika form six ila sikufanya mtihani Taqwa high school mwanza
Ninamiliki viti vingi tu kama shamba la avocado manyovu kigoma
shamba la migazi lwanda kagera(kigoma)
shamba la mahindi kihinga kigoma
na kuku 3, mbuzi 1, njiwa 60 na bata wawili
Hapana mimi ni Mtanzania kwetu ni kigoma mloleWewe ni mrundi?
Una ellimu gani tafadhali!?
Umewahi miliki kitu gani ulichokitolea jasho!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu yangu ni kidato cha nne japo nilifika form six ila sikufanya mtihani Taqwa high school mwanza
Ninamiliki viti vingi tu kama shamba la avocado manyovu kigoma
shamba la migazi lwanda kagera(kigoma)
shamba la mahindi kihinga kigoma
na kuku 3, mbuzi 1, njiwa 60 na bata wawili