TANZIA Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia

TANZIA Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia

Mkuu tuna inside infoz kuwa alikuwemo kwenye timu ya kuhakiki barua za kuomba msamaha kwa wenye kesi za rushwa na uhujumu uchumi!Endelea kukaza shingo!
Mmmeniudhi mefuta picha ya PM NA mwenye Tanzia
 
Why? Kwanini wanamuweka kwenye risk kubwa kiasi hicho!

Labda yeye ndio carrier!

Yani anaewekwa kwenye risk ni yeye PM tu?

Mwafrika, acha kujifikiria na kujithaminisha kinyani nyani na kujishusha.

Kiongozi ni binadamu kama wewe, maisha yako ni just as worthy.
 
Back
Top Bottom