Mpenzi wangu anaficha meseji kwenye simu yake, nahisi anawasiliana na wanaume wengine

Kweli wanaume tunapitia mengi, mbali na streess za kutafuta hera lakini streess za mapenzi ndizo zimesababisha wanaume tunakufa kwa magojwa ya moyo kabla ya umri wa uzee,

Kosa lako ni kushika simu ya huyo mpenzi wako.
Kosa la pili kama unafanya naye uzinzi ukafanya kwa kujiamini kuwa nipo peke yangu basi utambue kuwa unajiloga mwenyewe.
Mwisho nakushauri kuwa kama unahisi moyo wako hauwezi endelea naye basi achana naye kabisa maana utakuja kuua bira kukusudia kama yule jamaa wa Tabora aliyetanganzwa magazetini. Naamini umenielewa
 
Saw ila ila inakata stimu upo na mtu simu anaficha ficha bora
 
Achana nae,mwanamke anae chepuka wakati upo nae kwenye mahusiano kama mpenzi,girl friend,hata ukiingia nae kwenye ndoa atachepuka tu,
Huyo achana nae,utapata Ngoma ukicheza nae,tafuta mwingine.
 
Haya uliyokutana nayo yanaumiza sana ila hauko peke yako, wengi wanaumizwa na mambo kama hayo, na ukweli ni kwamba mtalaka hatongozwi, namaanisha yule x wake akihitaji kupasha kiporo moto ni yeye tu hakuna kizuizi. Hawa wenzetu ni wadhaifu sana hawana msimamo. Hata wewe ukimjaribu x wako kama hamkugombana haijalishi kama ameshaolewa ila huduma utapewa,. sasa huyo hata ukisamehe na ukamuoa ni vigumu kuwatenganisha.
 
Huko ndo kulia kwenyewe,ungekuwa hit and run kama mnavyojisifu wanaume usingegongewa mchana kweupe afu bado ukomae hapohapo...
Hv bado unapigaga nyeto eeeh ..maana naona mihemko kama yote
 
Hakuna mwana mke ambae hatongozwi hata kidogo hiyo sahau,hata mama zetu pamoja na uzee wao wanatongozwa na wazee wenzao huko,zingatia hii kauri ita kusadia hakuna mwana mke wa peke yako.NB.hata mama yetu samia anatongozwa sema mazingira yana mbana.
Hahahaha [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787] mkuu unapata wap Ujasiri wa kumzungumzia SSH ..kwenye mada dhaifu kama hii ....jitafakari upya mkuu
 

The last paragraph [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndo mzizi wa tatizo ulipo Yan ni wadhaifu mnoo mnoo
 
Lakini ni bora kuujua uozo wa mtu mapema, kuliko kuvumilia upumbavu. Haya maswala ya kujifanya hutaki kuangalia mwenendo wa mpenzi wako kisa unampenda ndo matokeo yake unaletewaimba ya ex boyfriend ulee.

Kupuuzia Lila kitu ni utoto pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…