Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Hamna kitu apo hao wachezaji wa kawaida sana sema wewe hujui mpira ndio maana umewaona wakaliHao wailkua wakali kweli sabab mpira haukua na tactic sana gape la anayejua na asiyejua lilikua kubwa sana
Sasa hivi ni tactics zaidi no wonder brighton anamfunga hata barcelona akikaa vibaya
2004 promising player kama Ansu fati hawezi akawa na kiwango cha kucheza barcelona alafu aje kucheza brighton apigwe bench na kaoru mitoma
Akikujibu nitagDelima ana goal ngapi national team?
Mbona neymar kavunja records zote?
Neymar ana Ballon D'or ngapiDelima ana goal ngapi national team?
Mbona neymar kavunja records zote?
Sawa Pep guardiolaHamna kitu apo hao wachezaji wa kawaida sana sema wewe hujui mpira ndio maana umewaona wakali
Ndio Mimi ni guardiola kwani uongoSawa Pep guardiola
Kweli kabisa sema malizia MNENENdio Mimi ni guardiola kwani uongo
Mtu usiye na marinda unadiriki kiniita mi shoga?Umemwuliza mama yako 'ninavyomfikisha' lakini?We itakua shoga maana hapo umeongelea mashoga watupu wa zamani
Wewe ni shoga Hilo Wala halina upinzaniMtu usiye na marinda unadiriki kiniita mi shoga?Umemwuliza mama yako 'ninavyomfikisha' lakini?
Nitakupakua kisamvu hichooo we mtu wa upinde, ohooo! Mi Mkurya nitakula kichuri hicho ulicho nacho.Wewe ni shoga Hilo Wala halina upinzani
Ile goli la Sakho alilochukua nalo kiatu akiwa Simba kocha hawezi kufundisha yale vitu lakini wachezaji hawezi kujaribu kwasababu wataharibu mfumo anaohitaji kochaWewe umeongea pointi Moja kubwa sana siku hizi watu ni mfumo hawakimbiikimbii ukifuata uwezo wako lazima uharibu mipango ya kocha
Dah! yaani huyu jamaA ni mimi kabisA.Nilikuwa siambiwi kitu Kwa Man U
Man U ikifungwa Hata chakula Kilikuwa Hakiliki
Kwasasa Sijui hata Imecheza Lini
Sijui ina points ngap
Nikiambiwa Imefungwa Kama Vile nimeambiwa Kuna Mbuzi kapotea huko Malawi!!
Yaani hata Roho Kustuka hakuna!
Nimebakia na Simba hii ndio Inayo nitesa sana japo Simuda nayo ...
Wakurya wengi sana ni mapunga na wewe ni mmoja wapo wa mapunga wa kikuryaNitakupakua kisamvu hichooo we mtu wa upinde, ohooo! Mi Mkurya nitakula kichuri hicho ulicho nacho.
Mkuu vipaji vilikwepo labda naweza kusema vipaji vya zamani wapiga mashuti na wanaojua dribble wanaonekana wakali,mpira wa sasa ni ujuzi na akili,falsafa ya kocha au timu inatumika zaidi,kuna wachezaji walikuwa wakipiga shuti kipa hadaki. Hamna pass kali kama za sasa.Mkuu
Ujue sasa hivi soka mmeliharibu
Leo hii mtu ukimwambia Xavi ni bora kuliko Rodri utakimbilia takwimu okay.
Wakati macho ya wazi kabisa Xavi alikuwa bora mara 200 ya Huyu Rodri
Pep mwenyewe alisema "sometimes football is beyond the number" yaani yeye anaamini mpira sio takwimu tu .
Sasa wewe unambishia kocha wa huyo Halaand?
Wazee wa old is gold jauAkikujibu nitag
Delima ana UEFA ngapi?Neymar ana Ballon D'or ngapi
Mkuu mbona kama umenisemea mimiNilikuwa siambiwi kitu Kwa Man U
Man U ikifungwa Hata chakula Kilikuwa Hakiliki
Kwasasa Sijui hata Imecheza Lini
Sijui ina points ngap
Nikiambiwa Imefungwa Kama Vile nimeambiwa Kuna Mbuzi kapotea huko Malawi!!
Yaani hata Roho Kustuka hakuna!
Nimebakia na Simba hii ndio Inayo nitesa sana japo Simuda nayo ...
Mim bado game za ulaya nazielewa sana hasa hasa big match,kibongo bongo simba na yanga tu,huko africa hata huwa sivutiwi kabisa na njisi timu zinavyocheza
Siwez kuangalia mechi ya Al ahly na zamaleki nikainjoy au kaizer chief na supersport nikainjoy
Ili uweze kufanya mlingano wa football lazima uwe umeangalia WC ya kuanzia 98 hata kwa kurudia you tube kama utapata.Mkuu
Ujue sasa hivi soka mmeliharibu
Leo hii mtu ukimwambia Xavi ni bora kuliko Rodri utakimbilia takwimu okay.
Wakati macho ya wazi kabisa Xavi alikuwa bora mara 200 ya Huyu Rodri
Pep mwenyewe alisema "sometimes football is beyond the number" yaani yeye anaamini mpira sio takwimu tu .
Sasa wewe unambishia kocha wa huyo Halaand?
Mim bado game za ulaya nazielewa sana hasa hasa big match,kibongo bongo simba na yanga tu,huko africa hata huwa sivutiwi kabisa na njisi timu zinavyocheza
Siwez kuangalia mechi ya Al ahly na zamaleki nikainjoy au kaizer chief na supersport nikainjoy
Au Nesta au Estaban Cambiaso, kiungo kiwe Thulam, Pavel Nevded fullback left Ina Lizarazu aseeNiliwahi kuuliza kuwa, hivi kuna Striker wa sasahivi angeweza kabwa na hawa mabeki na kupita? Angalia tu aina ya mabeki...akina Paolo Maldini au Genaro Gatuso halafu eti Striker ni Ganacho au Gabriel Jesus
Ktk hao aliowataja mbovu kiasi ni Stam. Na ubovu wake ni kutoa penalty rafu hao wengine walikuwa vizuri zaidi.Una ukale kichwani mwako ubeki sio sura mbaya John stone ni beki mzuri kulingana na hao