No offense.Advance!?masomo GANI hayo!?
Usi complicate mambo kufundisha simple sana!
TENA advance!unatumia mbinu gani!?au we BADO unatumia teacher centred Ili uwaonyeshe upo deep sio!!?
Mi napiga chemistry na bios ordinary level and never suffocate!!
Ugumu unaufanya wewe mwenyewe!!!
"Easy does it" norman vincent peale!!
Vumilieni tu mkuu , sasa mkiacha kazi wanetu watafundishwa na nani?🤔ualimu is a cursed job accept it or not ,it is. mm pia ni teacher nimeona kwa macho yangu.
Student centered kwa wanafunzi wa O level? nyie ndiyo mnaua ndoto za watoto masikini. Watoto hawajakomaa kiakili unafanya student centered? Approach za vyuoni mnaleta O level.Advance!?masomo GANI hayo!?
Usi complicate mambo kufundisha simple sana!
TENA advance!unatumia mbinu gani!?au we BADO unatumia teacher centred Ili uwaonyeshe upo deep sio!!?
Mi napiga chemistry na bios ordinary level and never suffocate!!
Ugumu unaufanya wewe mwenyewe!!!
"Easy does it" norman vincent peale!!
Elimu ya SASA sio kama ile ya zamani!No offense.
Walimu kama nyie ndiyo mnasababisha watoto wanapata matokeo mabovu katika shule zetu za St. Kayumba na approach zenu za kibinafsi.
ACHA UVIVU
Uvivu, mbona we hukuwa teacher ukaifanya hiyo kazi kama unadhani ni rahisi??No offense.
Walimu kama nyie ndiyo mnasababisha watoto wanapata matokeo mabovu katika shule zetu za St. Kayumba na approach zenu za kibinafsi.
ACHA UVIVU
Pesa yote hiyo jamaniSh 805,000 degree Sayansi
Umetoa sana maelezo ila umesahau kutoa MSIMAMO WAKO, msimamo wako ni upi MKUU ??Habari za asubui ndugu zanguni,
Nimefanya kazi ya ualimu katika shule x mkoani Dodoma kwa miaka 3 sasa nikifundisha masomo ya A level kwenye shule moja ya private.
Lakini naona kama hii kazi inakua ngumu sana kwangu kuendelea nayo sababu na experience citu vifuatavyo vinavyoniumiza na kunidrain energy yote na morale ya kufanya kazi.
Kwanza nimegundua hii kazi inakugeuza kuwa mwanafunzi kabisa maana unahitaji kusoma mara kwa mara ili uweze kuwa competent katika kufundisha. Sasa hiii ya kusoma mara kwa mara inadrain energy vibaya mno maana kichwa kinahitaji pia kufikiria na mambo mengine ya kimaisha.
Mbaya zaidi vitu tunavofundisha ni ma theory tu kwaiyo unabaki tu kumeza mavitu ili ukayateme darasani lakn haudevelop practical skill yoyote na ukiacha kusoma yanapotea unless uwe umefundisha miak mingi sana ndo material yanastick kichwani.
Pili, Ratiba hasa katika private schools iko so tight unakua na ma vipindi kibao mpaka usiku sometimes. Siku nzima unafanya kazi ya kupiga kelele darasani.
Tatu, kazi ya kukimbizana na wanafunzi, tena hawa ma teenagers ni kazi ngumu sana.
Sijui kama ma teacher wenzangu mmenotice hii kitu kama mimi, Mpwayungu alishaliona hili zamanii sana na kulisemea.
Ndio muongozo wa competence based curriculum mkuu!!Student centered kwa wanafunzi wa O level? nyie ndiyo mnaua ndoto za watoto masikini. Watoto hawajakomaa kiakili unafanya student centered? Approach za vyuoni mnaleta O level.
Nakumbuka O level tulikua na maticha wa Physics, Chemistry, Biology kama wewe wana selfish approach tulichomoka wachache tena kwa uwezo binafsi maticha hayafundiahi kwa moyo wote😮
Unaongea usilolijua wewe!! Umewai fundisha wanafunzi wenye uwezo mdogo wewe? Tena shule ya private wamekulipa na ada . Kirahisi rahisi tu uwawekee maswali ubaoni wa discuss sio .hehehe.anyway hujawai kuwa mwalimu so sikulaumuElimu ya SASA sio kama ile ya zamani!
Vitabu hamna wala internet no materials!!KWA sasa kuna topic GANI haina material!!?
Kuna swali GANI halina materials kama sio kutaka kuonyesha u deepness usio na maana!!?
Uwalimu wa leo ni competence based hakuna haja ya kujaza ubao mara tatu kama zamani!!
Wape class activity wajaze wa discuss uone kama wanashindwa vijana!inabaki kutoa muongozo KWA baadhi yasiyoeleweka vizuri!!
Nenda chuo chochote tz kama wanafundisha teacher centred!!
Mambo yamebadilika SASA wanafunzi ndio wenye materials sisi ni wawezeshaji wa mjadala!!!
Chukua hiyo!!
Kwa akili zao za kusifia na kuabudu CCM bakora lazima ziwahusu tu. Tena wanatandikwa na tutoto tudogoo aibu kubwa hii 😂😂😁😁😀😀Naskia walimu walitandikwa bakora na grinigadi huko wilayani tarime.
Twende taratibuElimu ya SASA sio kama ile ya zamani!
Vitabu hamna wala internet no materials!!KWA sasa kuna topic GANI haina material!!?
Kuna swali GANI halina materials kama sio kutaka kuonyesha u deepness usio na maana!!?
Uwalimu wa leo ni competence based hakuna haja ya kujaza ubao mara tatu kama zamani!!
Wape class activity wajaze wa discuss uone kama wanashindwa vijana!inabaki kutoa muongozo KWA baadhi yasiyoeleweka vizuri!!
Nenda chuo chochote tz kama wanafundisha teacher centred!!
Mambo yamebadilika SASA wanafunzi ndio wenye materials sisi ni wawezeshaji wa mjadala!!!
Chukua hiyo!!
Kazi ya ovyo sana hii twinawe!Siwezi kusema ualimu ni kazi mbaya ila kiukweli ni kazi ngumu nimewahi kufundisha kwenye project ya ATC chini ya donbosco asee cha moto nilikua nakiona na pia muda mwingi unajikuta unaitumikia kazi hata kama upo nyumbani
Kazi ya ualimu haipebdeki labda uwe kichaa ndo utaipenda kaka.Kazi ukiipenda haina ugumu
Acheni uvivu walimu wa shule za serikali mnaua ndoto za vijana wengi. Msoto ulikua mzito bila jitihada zetu binafsi hata sisi wachache tusingetoboa. ACHENI UVIVUUvivu, mbona we hukuwa teacher ukaifanya hiyo kazi kama unadhani ni rahisi??
Mimi nimefundisha shule zote HADI hizo zenu!!!!Unaongea usilolijua wewe!! Umewai fundisha wanafunzi wenye uwezo mdogo wewe? Tena shule ya private wamekulipa na ada . Kirahisi rahisi tu uwawekee maswali ubaoni wa discuss sio .hehehe.anyway hujawai kuwa mwalimu so sikulaumu
Kazi ya ualimu haiependeki ngo! Labda uwe kichaa ndo utaipenda.Twende taratibu
Najua utatetea kazi yako. Tunashukuru maticha kwa kutulea mpaka hapa tulipofikia.
Ila shule za serikali walimu hawafundiahi kabisa watato wanachomoka kimungu mungu tu.
Kauli yao utasiki "sisi tumesoma kwa shida". Au "hakuna mtu atayekutafunia"
Imagine shule ya mjini mwalimu yupo ila anaingia darasani kwa manati na akiingia anafundisha kwa kujivuta.
itoshe kusema waalimu HAMUIPENDI KAZI YENU.
Ndiyo maana kwenye matokeo pia nasomo yenu hamfaulishi.Ndio muongozo wa competence based curriculum mkuu!!
Hawakuchomoka sababu ya kutojishughulisha tu!!
We unataka kuvunja ubaoni Ili umuonyeshe nani kama unajua!!?
Kama mentality yako ndio hiyo hata huko uendapo utashindwa sana tu!!whatever, hii sio kazi.inatakiwa iwe last option kama umekosa kila kitu ndo uwe mwalimu .