Mpwayungu yupo sahihi, hii kazi ya ualimu ni ngumu sana

Ukimchukua leo mtoto wa tajiri mmoja ambae alikua anapewa 500k kwaajili ya matumizi yake madogo madogo ya shuleni, ukimpa ajira ya mshahara wa 700k ni lazima ataitukana hiyo kazi na ataiacha haraka sana.

Ila ukimchukua mtoto wa masikin aliekua anapewa matumaini tu kuwa nenda shule nikipata ntakutumia hela ya matumizi na anaondoka akiwa hana kitu ukimpa kazi ya mshahara wa 700k ni lazima ataithamini sana.

Unajua kwanini? Maisha magumu ndo yanatufundisha kuthamani vitu, hakuna anaependa kufanya kazi ngumu.
 
A comment with minerals...superb!
 
Umenena vyema umaskini wa ualimu upo kwenye muda,

Ratiba ngumu kufundisha , usome . Nyumbani uandae kazi ya kesho , ujasahisha , ratiba nyingine mpaka jumamosi . Mshahara aungozeki hata mia ,no overtime,kwa nini usife maskini
Kazi gani ya kuajiriwa ina muda? Kila kitu ni mipango lazima ujipe muda wakufanya maendeleo binafsi
 
Ngoja nichambue matches za jackpot kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…