IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Ukweli ni upi?Muongo mkubwa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli ni upi?Muongo mkubwa wewe
Na inasemekana hakuna ku endeleza/kufungua bandari yoyote ukanda wote wa pwani ya Tz.Miaka 99 kwa mchina bila kulipa Kodi? Big no
muda utaamua tubaada ya mwaka 1 tutaanza kutubu kwa mwenda zake matusi yote tulomtukana
sasa kama ndiyo hivyo si ujinga huo mkuuNa inasemekana hakuna ku endeleza/kufungua bandari yoyote ukanda wote wa pwani ya Tz.
Kama aliyoyasema Hayati JPM juu ya huu mradi ni ya Hakika kwakweli HAPANA acha tuendelee na ile ya kimkakati aliyoiacha ila kama terms zitabadilishwa na kuwa win win situation hapo SAWA.
Ila sio kwa mradi huo na mkataba ule aiseeKwa utawala huu ni utawala wa kukaribisha wawekezaji, waje tu!
Waulize baada ya iyo miaka iyo bandari itakua kwenye hali gani wakati wanatukabidhi.....Yaani miaka 50 nchi haichukui Kodi, haiendelezi bandari nyingine, haina mamlaka ya kuhoji na kukagua vitabu vya mapato na matumizi vya mchina.
BIG NOOOOO
Mafisadi Sasa mnajifutua.Sio 99.
Ni 50.mazungumzo yapo.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Ulishakula 10% na kumtoa drug dealer Sasa unataka Nini wewe JK?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Ila mmarekani ndio mtumkuu wachina sio watu Pakistan wanalia,congo wanalia, kenya wanalia zambia wanalia hizo sample ukipata muda jionee miladi waliyofanya huko ni dhuluma kubwa
Mkuu, mbona hilo linazungumzika ni kiasi cha kukaa chini na kuelewana - wala sidhani kama Wachina wangeshindwa kutoa gawiho kiasi na kuipatia Serikali kila mwezi including ulipaji kodi - bandari ingefanya kazi in parallel na Bagamoyo kwa kuhudumia meli zenye uzito wa kati na sio zile ambazo ni Juggernuat - kina cha Bagamoyo kinaweza kubeba Meli zenye uzito wowote Duniani unlike Dar port.Sasa hapo, bandari ya dar itakufa, ni bora serikalini ipate share angalau 40%
Kamati ya bunge ya maliasili na utalii ilizuiliwa kuingia Serengeti Grumet, na yule mzungu wa Oyster bay alieikata kamati ya LAAC mpaka baadhi ya wajumbe kulazimika kuruka ukuta.Ndio mambo yaleyale ya waziri kuzuiwa getini
Huo sio msaada ni agreement lakn by the way bandari ni muhim ila kuwe na usawa ktk mkataba piaTatizo ni fikira za kiumaskini na kukosa uthubutu, hili ni tatizo la viongozi na nchi nyingi za Africa
Penye watu 10, ni asili mia 2 tu Kati ya hao ndio huwa watu wa kuona furusa na kuona inawezekana hata kusipokuwepo msaada
Lakini asilimia 8 ya watu hao akiwemo na Mleta mada, hawana uamuzi na niwatu wenye fikra za kiumaskini na kusingizia watu kwamba Kwa nini huyu anazuia watu wakuleta ajira, labuda akifa ndio nitafanikiwa,
Tanzania ni Taifa lililosheheni furusa kila utapogusa, kilichopo ni uthubutu wa kufanya, viongozi wenye kutegemea msaada hawatufai hata kidogo!!
Viongozi wenye kugawa rasilimali zetu Kwa Mali kauli tena miaka miiingi kisa ni kutengeneza ajira, hao ni masikini wa kifikra na hawana uwezo wa kusimamia
Mbona ma fly ova tunawapa Yale hayana dhuruma? Nauliza tuIla mmarekani ndio mtu