Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijisenti vilifanye Yuda ajitundike, endeleeni kutetea ujingaMwendazake alijawa roho mbaya sana.
Aliukataa mradi wa bandari ya bagamoyo kwa chuki tu.
Laiti bagamoyo ingekuwa chato mradi ungetekelezwa haraka sana.
Mazezeta hawawezi elewa, watashangilia tu kuwa hukuna hata cent 5 kutoka Tz bila kujua watakuwq wameiuza sehemu ya nchi yetu china kwa miaka 100 na hatupaswi kuendeleza bandari zetu wala kukusanya maduhuri! Huu ni ujuha wa level ya airbus😭!Miaka 99 kwa mchina bila kulipa Kodi? Big no
Big NOOOOOOOOO!!!
Tena koma
Hata ikiwa 10,
Why not Expand Tanga port and Mtwara Port instead?
Wewe ndo uache ujinga.Vijisenti vilifanye Yuda ajitundike, endeleeni kutetea ujinga
mkuu wachina sio watu Pakistan wanalia,congo wanalia, kenya wanalia zambia wanalia hizo sample ukipata muda jionee miladi waliyofanya huko ni dhuluma kubwa
Muongo mkubwa weweMiaka 99 kwa mchina bila kulipa Kodi? Big no
Wewe ndio wale wapiga Debe wa magendo ya Wala nchi??Wewe ndo uache ujinga.
Jiwe limefanya miradi ya hovyo kibao ukiwamo uwanja wa ndege chato.
Halafu alijificha kwenye kichaka cha uzalendo uchwara.
Another shit!Pesa haipatikani kwa kodi tu. Kuna makato mengine mengi tu ambayo tunaweza kupata kwa gharama za huduma mbalimbali. Vilevile wafanyakazi watakaoajiriwa hapo watalipwa kodi na soko la bidhaa zetu ghafi litaongezeka.
We riziwani hebu tutoleeni ujinga na babako...basi hapo mlikamata maviwanja mkategemea mtauza kwa Bei kubwa umekula kwenu wANGALIA NA FAIDA NYENGINEZO! HAKUNA LISILOZUNGUMZIKA NDUGU.
Yaani mitimu jakhaya inarudi kimya kimya...zile mali mlizojimilikisha hazitoshi? Unajua Kilichowatokea walioingia mkenge wa hii mikataba..cha bure ghali we mwehu How China Got Sri Lanka to Cough Up a Port (Published 2018)Nani kakwambia ni Bandari isiyo na faida??? Kwa Unajua mradi wa Bandari ya Bagamoyo ulikuwa unahusisha mambo gani??? Au ndo tapeli wenu magufuli aliwalisha matango pori???
Sasa wewe usie zwazwa kwanini usiweke ukweli tuone?Hii nchi imejaa mazwazwa sana kiongozi, bado kuna watu wanaamini kila kitu alichokuwa akikizungumza Jiwe ni cha KWELI
Miaka 99 kwa mchina bila kulipa Kodi? Big no
Unao mktaba hapo tuuone?Mumeambiwa maungo mkayaamini?
Hakuna kitu kama hicho kwenye huo mkataba.
Mradi wa bandari ya Bagamoyo ni mzuri mno! Hayo mengine zilikuwa propaganda tu za kuuchafua kwa interest binafsi.
Maukweli yako wapi yaweke hapa tuoneJomba, ulikuwa unaamini hayo mauongo? Pole
Kwa sababu ya hiyo basi Samia nae aendeleze ujinga wa kuuza nchi kwa wachina?Wewe ndo uache ujinga.
Jiwe limefanya miradi ya hovyo kibao ukiwamo uwanja wa ndege chato.
Halafu alijificha kwenye kichaka cha uzalendo uchwara.