Mradi wa bandari ya Bagamoyo urejeshwe haraka sana

Mradi wa bandari ya Bagamoyo urejeshwe haraka sana

Mwendazake alijawa roho mbaya sana.

Aliukataa mradi wa bandari ya bagamoyo kwa chuki tu.

Laiti bagamoyo ingekuwa chato mradi ungetekelezwa haraka sana.
Vijisenti vilifanye Yuda ajitundike, endeleeni kutetea ujinga
 
Miaka 99 kwa mchina bila kulipa Kodi? Big no
Mazezeta hawawezi elewa, watashangilia tu kuwa hukuna hata cent 5 kutoka Tz bila kujua watakuwq wameiuza sehemu ya nchi yetu china kwa miaka 100 na hatupaswi kuendeleza bandari zetu wala kukusanya maduhuri! Huu ni ujuha wa level ya airbus😭!
 
Vijisenti vilifanye Yuda ajitundike, endeleeni kutetea ujinga
Wewe ndo uache ujinga.

Jiwe limefanya miradi ya hovyo kibao ukiwamo uwanja wa ndege chato.

Halafu alijificha kwenye kichaka cha uzalendo uchwara.
 
Ndo maana nikasema mazungumzo yapo.wakae waongee
mkuu wachina sio watu Pakistan wanalia,congo wanalia, kenya wanalia zambia wanalia hizo sample ukipata muda jionee miladi waliyofanya huko ni dhuluma kubwa
 
Wewe ndo uache ujinga.

Jiwe limefanya miradi ya hovyo kibao ukiwamo uwanja wa ndege chato.

Halafu alijificha kwenye kichaka cha uzalendo uchwara.
Wewe ndio wale wapiga Debe wa magendo ya Wala nchi??

Kwanza huna hoja na haujui kushawisi na Hadi huelewiki unachokipigania, Kwa heri
 
Pesa haipatikani kwa kodi tu. Kuna makato mengine mengi tu ambayo tunaweza kupata kwa gharama za huduma mbalimbali. Vilevile wafanyakazi watakaoajiriwa hapo watalipwa kodi na soko la bidhaa zetu ghafi litaongezeka.
Another shit!
 
ANGALIA NA FAIDA NYENGINEZO! HAKUNA LISILOZUNGUMZIKA NDUGU.
We riziwani hebu tutoleeni ujinga na babako...basi hapo mlikamata maviwanja mkategemea mtauza kwa Bei kubwa umekula kwenu w
 
Kenya sasa hivi wanalia alafu kuna jinga hapa linataka na sisi tufuate njia ile ile!
 
Wezi wakubwa hii bandari itakuwa ya china sio yetu na wameshasema wanataka kuweka base ya jeshi pale na ndiyo maana wanataka mkataba wa miaka 99 bila kuulizwa
 
Hii nchi imejaa mazwazwa sana kiongozi, bado kuna watu wanaamini kila kitu alichokuwa akikizungumza Jiwe ni cha KWELI
Sasa wewe usie zwazwa kwanini usiweke ukweli tuone?
 
Miaka 99 kwa mchina bila kulipa Kodi? Big no

Mkuu ssmahani Uneandika Maneno mepesi sana kwa Mtoa Mada...
Ungeandika BIG NO kisha Umtukane...
Samahani lakini japo kila Mtu ana Uhuru wa Maoni
Ika Jamaa ni Fusadi,Mbinafsi
Na Huenda Hiyo ajenda Iko Mbioni kuja!
Hawa ndio wanataka Maskaini tuwe wachache yeye awe Tajiri!
Mimi haoa Kaniudhi Nimeshindwa hata Neno ka Kumwambia zaidi yavKukuomba umpe Neno kali na Baya!
Jamaa Sio Mzalendo kabisa!
 
Mumeambiwa maungo mkayaamini?

Hakuna kitu kama hicho kwenye huo mkataba.

Mradi wa bandari ya Bagamoyo ni mzuri mno! Hayo mengine zilikuwa propaganda tu za kuuchafua kwa interest binafsi.
Unao mktaba hapo tuuone?
 
Wewe ndo uache ujinga.

Jiwe limefanya miradi ya hovyo kibao ukiwamo uwanja wa ndege chato.

Halafu alijificha kwenye kichaka cha uzalendo uchwara.
Kwa sababu ya hiyo basi Samia nae aendeleze ujinga wa kuuza nchi kwa wachina?
 
Back
Top Bottom