Mradi wa bandari ya Bagamoyo urejeshwe haraka sana

Mradi wa bandari ya Bagamoyo urejeshwe haraka sana

Yaani miaka 50 nchi haichukui Kodi, haiendelezi bandari nyingine, haina mamlaka ya kuhoji na kukagua vitabu vya mapato na matumizi vya mchina.
BIG NOOOOO
Miaka hamsini, toka nimezaliwa najiona nimezeeka hata miaka50 sijafikia etinjamaa wanagonga noti tu
 
Hivi mlimwamini Magu kuhusu masharti ya huu mradi? Kumbe kuna watu walikuwa wanamwamini kiasi hiki?

Ukweli ni kwamba Magu ali exaggerate masharti terms za huu mradi. Tafuteni ukweli mtajua
Tupe wewe terms tujue
 
Hiyo bandari ikirudishwa basi iwe win win pande zote, hatutaki baada ya miaka kadhaa hao wachina watasema wanapata hasara kila uchao
 
Wengi tumejikita kwenye miaka 50 sijui 99... hatujui kua miaka n namba tu cha msingi katika huo muda tutapoteza kiasi gani na tutaingiza kiasi gani..... kutochukua kodi pia inaweza tumika akili mbadala mfano ukaacha kuchukua kodi ukapandisha ushuru wa barabara (Roadtolls)..... na mwisho ukawa hujachukua kodi ila umehamishia goli kwenye ushuru wa barabara..... cha msingi hapa ni kwamba huu mkataba usisainiwe gizani...... mkataba uwekwe wazi..... yasifanyike yale mambo ya Barick na Hayati...... Unaficha mikataba alaf unawaaminisha Wananchi mkataba unafaida..... kwann usiuweke hadharani wenye Nchi yao wajue.... Tusiamin cha kuambiwa bali tujionee kwa macho...... kwa kusema miaka 100 na tusikusanye kodj hiyo haitoshi kwangu Kuukataa au kuukubali huu mradi... bali nahitaji kuujua huo mkataba zaidi.....
 
Nani kakwambia ni Bandari isiyo na faida??? Kwa Unajua mradi wa Bandari ya Bagamoyo ulikuwa unahusisha mambo gani??? Au ndo tapeli wenu magufuli aliwalisha matango pori???
Mkuu kama unataarifa sio mpatie tu.Yanini kumuuliza maswali.Shusha nondo na wengine tujifunze hizo faida
 
Hivi mlimwamini Magu kuhusu masharti ya huu mradi? Kumbe kuna watu walikuwa wanamwamini kiasi hiki?

Ukweli ni kwamba Magu ali exaggerate masharti terms za huu mradi. Tafuteni ukweli mtajua
Wewe unayajua kama nani?Muhusika?Ungeweka hayo masharti na mkataba watu wakuamini wewe badala ya kumuamini aliye kuwa raisi
 
Wengi tumejikita kwenye miaka 50 sijui 99... hatujui kua miaka n namba tu cha msingi katika huo muda tutapoteza kiasi gani na tutaingiza kiasi gani..... kutochukua kodi pia inaweza tumika akili mbadala mfano ukaacha kuchukua kodi ukapandisha ushuru wa barabara (Roadtolls)..... na mwisho ukawa hujachukua kodi ila umehamishia goli kwenye ushuru wa barabara..... cha msingi hapa ni kwamba huu mkataba usisainiwe gizani...... mkataba uwekwe wazi..... yasifanyike yale mambo ya Barick na Hayati...... Unaficha mikataba alaf unawaaminisha Wananchi mkataba unafaida..... kwann usiuweke hadharani wenye Nchi yao wajue.... Tusiamin cha kuambiwa bali tujionee kwa macho...... kwa kusema miaka 100 na tusikusanye kodj hiyo haitoshi kwangu Kuukataa au kuukubali huu mradi... bali nahitaji kuujua huo mkataba zaidi.....
Yani bandari tuwape wachina,na ushuru wa barabara tuongezewe🤷🏿‍♂️🤷🏿‍♂️Akili za wapi hizi?Au hizo roadtolls zitakuwa kwa ajili ya wachina pekee?Usimwamini mchina hata mchana kweupe.
 
Umeambiwa mazungumzo yapo.
Wangekuwa na nia ya win win situation kwanini wasifanye hayo kipindi kile?Waje kukubali kujadiliana baada ya kuona kitumbua kimeingia mchanga?Mchina hawezi fanya biashara ambayo kamwe haiwezi mlipa na kamwe hawezi kwambia biashara imemlipa.Atakwambia tu anakusaidia ila anapata hasara.😂😂
 
Yaani miaka 50 nchi haichukui Kodi, haiendelezi bandari nyingine, haina mamlaka ya kuhoji na kukagua vitabu vya mapato na matumizi vya mchina.
BIG NOOOOO
hv ilikuaje Terms&Conditions za mkataba wa huu mradi wa bandari zikawekwa wazi hvo??? mbna miradi mingine naonaga mikataba inafanyika kmya kmya sisi raia tunaona utekelezaji wa mradi tu!!

yaan huu mkataba wa ujenz wa bandari mpaka raia tumejua mambo ya miaka 99 bila kulipa kodi!!! what happened kwny huu mkataba
 
Hata kama ni miaka 50 hapana!!!!.....labda miaka 2!!!

Kama mnavyojua, hawa Wachina are sliperly by character [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kama walivyo Wahindi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
hawa watu wa asia yaan mchina,mwarabu na mhindi ni mambwa kabsa
 
Yale ya kusema mikataba ni ya siri yasiwepo, watuwekee hapa kila kitu labda tutaelewena, ila swala la mtu kukodi sehemu kwa miaka 99 au 50 na kutaka asihojiwe, asilipe chochote na tumwache afanye atakalo kwa miaka yote hiyo kwa kweli hata mtu asiyekuwa na akili hawezi kukubali..
 
Back
Top Bottom