King 999
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,872
- 8,374
hv ww kumbe kweli n mjinga kama ilivo ID yako eeeh? umekomaa kusema bagamoyo kwanza na hujui madhara ya hzo T&C za huo mradi ??Bagamoyo kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hv ww kumbe kweli n mjinga kama ilivo ID yako eeeh? umekomaa kusema bagamoyo kwanza na hujui madhara ya hzo T&C za huo mradi ??Bagamoyo kwanza
hata kichaa haez kubali hata mtoto alie tyumbon hawez kubali huo upuuz!Yale ya kusema mikataba ni ya siri yasiwepo, watuwekee hapa kila kitu labda tutaelewena, ila swala la mtu kukodi sehemu kwa miaka 99 au 50 na kutaka asihojiwe, asilipe chochote na tumwache afanye atakalo kwa miaka yote hiyo kwa kweli hata mtu asiyekuwa na akili hawezi kukubali..
Miwatu kama nyie ndo maana nchi haiendelei
Wangekuwa na nia ya win win situation kwanini wasifanye hayo kipindi kile?Waje kukubali kujadiliana baada ya kuona kitumbua kimeingia mchanga?Mchina hawezi fanya biashara ambayo kamwe haiwezi mlipa na kamwe hawezi kwambia biashara imemlipa.Atakwambia tu anakusaidia ila anapata hasara.[emoji23][emoji23]
Hilo la miaka 99 , bila ya kulipa kodi halina ushahidi.. Yalikuwa maneno ya mwendazake... Kwa akili ya kawaida , uwekezaji wowote mkubwa .. Unahitaji muda kwa aliyewekeza kurudisha hela aliyowekeza..... Swala la kuuliza , je bandari nyingine duniani wanafanyaje? Nakumbuka pale mlimani city tu, wawezekaji wanahitaji 50 years , baada ya hapo ndio umiliki uende serikalini.. Kuna namna ya kufanya kwenye mradi wa Bagamoyo...Miaka 99 kwa mchina bila kulipa Kodi? Big no
Ni yale yale tunayosema. Mama Samia anakuwa kama vile katoke nje ya serikali iliyopita! Kuwachekea wawekezaji itatu-cost! Kukataa kwa mradi wa Bagamoyo wenye masharti kibao yalioitwa "sawa ya mwenda wazimu" ni kuturudisha kulekule - kwenye deal na kupoteza raslimali zetu!
Khaaa kweli mjinga wewe tena na hao wenzio, miaka 50 unaiona michache?Sio 99.
Ni 50.mazungumzo yapo.
ndiyo maana wengine wanaamini kuwa huenda hiyo bandari na wachina ndiyo ilikuwa dhamana ya Rais kwa kijana wake baada ya kukamatwa Hong Kong na madawa!