Mrejesho wa taarifa ya ajali iliyotokea Kisutu mnamo majira ya saa 05:45

Unaweza kushangaa wanakuandama wewe badala ya kumpeleka mafunzo mtu wao
 
Dereva wa mwendokasi kwanini akwepe Rav4 yenye watu wawili ilhali anajua Gari lake lina watu wengi zaidi tena wengine wakiwa taifa la kesho?! Busara ilikuwa ku-hit head-on Rav4 ili kuokoa majority
Pamoja na video kuwekwa bado unakaza fuvu
 
Lazima itakua edited,bioashaka alikua yupo kwenye panic mode.
Nadhani hii ya kujiweka wazi,kila mmoja anakua na nafasi ya kukosoa,ndiyo inafanya polisi wawe na watu wanaojiona wangekua wao,wangefanya zaidi.
Majeshi mengine hayapati criticism hovyohovyo hivyo,mfano Magereza et al.
 
Yaani hapa nimerudia mara tatu nimetoka bila. RAV 4 ilikuwa inatokea posta ya zamani kwenda Kivukoni na mwendokasi kutoka Kivukoni kwenda Kimara halafu Rav 4 ikaelekea Kusutu, daah. Haya ni mataa yepi kwani?
πŸ˜†πŸ˜…πŸ€£
Na ndiyo hawahawa wanapotosha kesi zza watu wengi tu huko vituoni zinakuwa kesi za kubambikiwa
 
Mbona ameripot kama mtu wa kawaid , asijua kanuni za barabara na kufafanua zaid

Hii ndio elimu bila viboko ndio kizaz hiki kinaanz chomoza
 
Huyu mwamba
Magereza tume reserve tu zile product zao za ngozi mikono ya zile massenger bags zao sijui waliwaza nini kuzitengeneza walivyotengeneza πŸ˜‚πŸ˜‚

Ila ni bora polisi wanavyoweka wazi hivi wakosolewe wajifunze. Hapa isisingiziwe panic sababu polisi wana mafunzo mazuri sana ya kukabili mazingira.

Hii sio mara ya kwanza, hata ukiona.michoro ya ramani za maeneo uhalifu mf. Mauaji yalipofanyika unaweza ukajiuliza hivi tupo serious au tunatania, huwezi ukaamini kabisa ni vitu vya kustaajabisha sana.
 
πŸ˜†πŸ˜…πŸ€£
Na ndiyo hawahawa wanapotosha kesi zza watu wengi tu huko vituoni zinakuwa kesi za kubambikiwa
Kila nikikumbuka jiografia yangu niijuayo kuhusu posta na Kisutu na Kivukoni sipati majibu kabisa. Labda sikuhizi kumebadilika kiasi najiuliza haya mataa ni ya wapi? Zile barabara zina majina kwanini asingetumia majina ya barabara katika ripoti yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…