ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Nadhani PDF itatoka,kwa wale walioomba Polisi,itajulikana ni FaFaFa au nini?Mbona kajitahidi sana. Hawa ndugu zetu si inasemekana ni Fa Fa Fa...kwa hiyo nampa hongera kajitahidi.
Jamaa mbona kawasilisha vizuri tu,polisi mnawachukulia poa kwasababu wanaishi ndani ya jamii na wanashughulika na mambo ya ndani ya nchi,hivyo wananchi wengi kujifanya wanawajua saana,nakuwazia majeshi yasiyoshuguulika na mambo ya ndani,ni perfect sana na wanaoajiriwa kule ni divisione one tu na kama wamepitia vyuo wamepata first classes.