Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,595
- 6,264
Kila mmoja anarudi kufanya kazi yake ya AwaliHivi wakitenguliwa hivyo huwa wanakwenda wapi?
Endelea kujidanganya!Huyo ndo atakua mbunge wa Arusha mjini. Anaandaliwa kuwa Waziri
Hiyo gambo ndio imetoka hiyoHii ni "Kamati ya ushindi" mkoa wa Arusha.
Lema kwaheri.
Nimesikitika sana mkuu , maana huyu kijana ndio nembo ya vijana wa ccmHayo ni maandalizi ya jambo jingine,usifurahie kwamba yamkini yamemkuta,unaweza kuta ndo anasonga mbele kuliko ufikiriavyo
Aliwaambia UVCCM wakizeeka watakuwa wachawi!Mmmmm sidhani...ameharibu huyu Gambo bye bye
Mkuu umempa za uso..Kuna watu wanaroho ya kuwaona wale waliowazidi kiuchumi au kimadaraka wanashindwa..au wanaanguka...yaani wanafurahi kweli...jambo ambalo sio sawa hata...kidogo..kuombeana mabaya watanzania wenzangu sio Sawa..daima tupendane na tuombeane mafanikio...kila mtu katika nafasi yake ....bila kujali tofauti zetu kiuchumi,kimamlaka,kidini,kikabila au kirangi..Kwa nini unataka wote mjazane chini kama wewe? Hii roho mbaya sana ndio maana umeganda hapo hapo kwenye zege. Mungu kakisudia ugande hapo hapo.
Alikuwa hapatani na dc na ded. Kila mtu alikuwa kivyake vyake,.. juzi juzi walipatanishwa na jaffo kumaliza tofauti zao,naona suluhu iligonga mwamba na hatima yake wametumbuliwa wooooote..eboooh.magu ni kibokoAliwaambia UVCCM wakizeeka watakuwa wachawi!
UTEUZI WA RC ARUSHA NA DC ARUSHA WATENGULIA
Rais Magufuli, leo ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo na nafasi yake imechukuliwa na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Monduli, Idd Kimanta
Pia ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Gabriel Daqarro na nafasi yake imechukuliwa na Kenan Kihongosi wa UVCCM Iringa
Aidha, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dkt. Maulid Madeni na kumteua Dkt. John Pima kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri
#JFLeo #Magufuli
View attachment 1483586
Soma pia:
1) Arusha: RC Gambo aibua sintofahamu Soko la Samunge, abeza taarifa ya DC na Mkurugenzi
2) Ugomvi baina ya RC Gambo na Mkurugenzi wa Jiji Arusha lashika kasi
3) RC Gambo aumbuka vijana wa CCM Arusha wamshambulia mitandaoni, aamua “ku left “