Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Kwamba ni kiinimacho?Huyo ndo atakua mbunge wa Arusha mjini. Anaandaliwa kuwa Waziri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba ni kiinimacho?Huyo ndo atakua mbunge wa Arusha mjini. Anaandaliwa kuwa Waziri
na hasa wale wasalitiHata wale wenye kujihakikishia kurudi Bungeni wana la kujifunza hapa.
Duuh...!
Hujui kitu na wewe ndio zwazwa!Kumbe wewe jamaa ni zwazwa kiasi hiki!!??
Lipeni Moyo tuHuyo ndo atakua mbunge wa Arusha mjini. Anaandaliwa kuwa Waziri
Ila MATAGA reasoning Capacity yenu iko chini sanaHuyo ndo atakua mbunge wa Arusha mjini. Anaandaliwa kuwa Waziri
Na pia anaweza kukamata yeyote , wastaafu wajiangalieLipeni Moyo tu
Limepigwa chini,na ndio limepotezwa kwenye Siasa za Bongo
Bashite nae ajiangalie sana, Jiwe kwa sasa anataka sifa kwa wananchi,anaweza mwaga mtu yeyote
😆😆😆
Ingekuwa hivyo asingetenguliwa kwa kutenguliwa amerudishwa nyuma kisiasa. Pia asingetengua vigogo wengine wa ArushaMwenzako anaelekea kwenye uwaziri...atagombea ubunge...hayo mautaratibu sijui ya majina kukatwa kwenye chama hayamuhusu!
Ubunge wa Arusha kisha uwaziri...
Everyday is Saturday........................ 😎
Duh, kwa staili hii idadi ya vichaa kwenye hii serikali inaweza ikaingia kwenye Guinness Book of World Records!Huyo ndo atakua mbunge wa Arusha mjini. Anaandaliwa kuwa Waziri