saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Nyie ndio mmherabikiwa akili, ma-mbwa nendeni mkamfuate marehemu weni kuzimu. uSio uchumi tu
Awamu hii kila kitu kimeharibika.
Tanesco njooni huku muimbe wimbo wa uchumi unadorora 🤣🤣🤣Ukiona unapongezwa na ma beberu, inabdi ujitafakari...
Mfuate kaburini, mbwa we. Yule shetani hana mfano hapa duniani, hafai.Mara 1000 bora magufuli
Ningekuwa na bastola ningekupiga risasi ya katikati kwenye buttocks zakoSamia kwa miaka michache kamzidi hayati Magufuli kwenye uchumi na diplomasia. Pia kwenye demokrasia na haki za binadamu kamzidi kwa mbali.
Udhaifu wake mkubwa uko kwenye usimamizi - hana basic skills. Competence yake kwenye good leadership ni ndogo.
Ila sasa afanye kazi moja tu muhimu, atupe Katiba Mpya. Akifanya hilo ataandika jjna lake kwa wino wa dhahabu katika historia ya Tanzania. Pia atakuwa na heshima na baraka hapa na milele
[emoji3166][emoji3166][emoji3166][emoji3166]... Upo na mm brotherTanesco njooni huku muimbe wimbo wa uchumi unadorora [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mamea utakuwa dalali wa forex umepigwa Pini 😂😂😜Ningekuwa na bastola ningekupiga risasi ya katikati kwenye buttocks zako
Ingekuwa Haina Uongozi ungekuwa umeshabakwa zamani 😁😁Yaan ukiingia humu utafkir nchi hii haina uongozi kbs!
Madelu.ana mda wa kujibu Kila mtu jukwaani? Kazi zake atafanya saa ngapi sasa?ChoiceVariable nahisi hii Ni moja ya ID za Madelu. Hivi Ni kweli
Tunaishi leo. Kesho hatuijui. Achana na kesho itajisumbukia yenyewe.Katika Jambo linalotishia uhai wa taifa Letu ni kuelemwa na madeni huku pesa yetu ikikosa thamani kabisa, Hakuna juhudi zozote Za makusudi zinazofanywa na seriakli ya Samia kuokoa uchumi wa Taifa letu...
Ni masikitiko makubwa Kwamba Sasa watu wanchota mihela Kwa kadri wawezavyo nakukopa mikopo mikbwa mikubwa huku nchi ikiwa Hoi bin taabani . Mfumuko wa bei uliopo Nchini Siyo wa kitoto, wakati huo huo purchasing power ya hela yetu ikiwa Chini Sana,. Pia serikali ikizalisha mikodi ya kila Aina kukandamiza mwananchi wa kawaida...
Samia siyo Raisi wa Kwanza kuvuruga uchumi wa nchi yetu, wapo watangulizi wake waliowahi kufanya hivyo, Sina haja ya kuwataja Maana wanajulikana. Ila Kwa Bahati Nzuri maraisi waliokuwa wanafutia walikuwa wazalendo kiasi ambacho walirudisha uchumi Kwenye mstari.... .
Wasiwasi wangu je tutakuja kupata mtu mzalendo ambae atakuja kuweka uchumi wetu imara, Tuombe iwe hivo kama hatapatikana basi Taifa la Tanzania linaenda kuangamia kama mrithi wa Samia atakuwa na akili hizihizi Tunazoshuhudia Sasa.....
Tukae tukijua seriakli yoyote dhaifu huambatana na mambo yote ya hovyo hovyo, Kama migomo, Rushwa, matajiri kuiendesha serikali, manyanyaso kwa raia, hudumaa za jamii kuwa mbovu etc. etc..
My Advice
"When you're choosing a Top leader of the government, choose wisely." By me.
Namaanisha humu watu wanavotoa maoni utahis serikali haifanyi chochote!Ingekuwa Haina Uongozi ungekuwa umeshabakwa zamani 😁😁
Kama unadhani Haina karibu kufanya tukio..
Ukisikiliza sana wapuuzi wa humu hutokuwa tofauti na zile picha za mafuriko ya Chadema humu jukwaani ila ukienda kwenye field wanaangukia pua 😂😂Namaanisha humu watu wanavotoa maoni utahis serikali haifanyi chochote!
Kile kipindi Cha Corona nlikuwa naingia sana humu aisee Kwa jinsi Watu walikua wanasema utafkir maiti zimezagaa mtaani😁 nlikuwa nakaa ndani tu
Magufuli alivuruga Uchumi upi wakati ndio rais aliyeingiza nchi uchumi wa kati mnajua huu unafiki wenu na uwongo mnaoufanya mitandaoni mnaharibu nchi wenyewe halafu mnamsingizia Magufuli sijui mnatumwa na walamba asali na majizi kila baya likifanyika mnasema kafanya Magufuli ila mazuri yake hamtaji mnayachukua na kujisifia nayo kama juzi ikulu ya dodomaWewe mpumbavu hujui misingi ya uchumi. Nenda uani kajisetiri halafu ukalale.
Uchumi kavuruga Magufuli, ila Rais Samia ndiyo anaujenga.
Wewe chawa hivi ndio vitu unavyovipendaAisee ila Mungu anakuona
Si yupo na waziri wa fedha nguli, mwenye PhD ya uchumi first class 🤣🤣 anapotupeleka anajua yeye na mchumi wake msomi🙏suala la maza kutaka kugombea 2025,binafsi namshauri ajitafakari🤔kiti kimempwaya sana 🙏it's very sad😢Kwa sasa Taifa lina hitaji Kiongozi, wewe ni mfanya biashara, una kwenda Bank kulipia mzigo, unaambiwa USD hakuna, jaza form za malipo ya nje, ziache hapa tutakupigia simu tukijadiliana na Branch manager tuone kama itawezekana, hivi kweli tutafanya biashara kwa mtindo huu? , online transactions zote zime kuwa affected, hata kama una transact 500$ haiwezekani, hairuhusiwi hadi uende Bank, ujaze form na uache wakijadili, au urudi kesho yake uulize vipi ombi langu lime kubaliwa? , Mama Samia Raisi wenu ni bure kabisa, yaani yupo yupo tu hajui ni afanye, biashara imekuwa ya hovyo sana.
Tz shillings thamani ina shuka kwa kasi ambayo toka tupate uhuru haijawahi shuhudia, binafsi nilijua Mama yenyu hakuna kitu , lilikuwa suala la muda tu, kibaya zaidi yuko busy kutaka kuwa Rais 2025, hii nchi pengine wananchi kuna utindiwa wa ubongo sio kawaida hii.
Siwezi kuwa mduu anaekaa pachafu, iyo kazi wanaweza wanaccmWewe chawa hivi ndio vitu unavyovipenda
Uchumi wa kati unaujua wewe au unaropoka tuu?Magufuli alivuruga Uchumi upi wakati ndio rais aliyeingiza nchi uchumi wa kati mnajua huu unafiki wenu na uwongo mnaoufanya mitandaoni mnaharibu nchi wenyewe halafu mnamsingizia Magufuli sijui mnatumwa na walamba asali na majizi kila baya likifanyika mnasema kafanya Magufuli ila mazuri yake hamtaji mnayachukua na kujisifia nayo kama juzi ikulu ya dodoma