Msaada: Huu ni ugonjwa gani na nini tiba yake?

kwa mtindo huu bora kujichukulia sheria mkononi mwako. Hakuna magonjwa, kuombwa hela ya nauli wala kusalitiwa.

Gharama yako 1500 ya mafuta ya nazi tu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Syphilis aka kaswende nenda hospital kama hali haijawaha mbaya ni Syphilis....


Kama nimekosea basi genital wart .....virus.....ila kaswende hiloooo likichanganya linaenda mdomoni linasambaaaa
 
Aloo pole sana harakati za pimbi na majanga yake mkuu
 
Vidonda vya Kaswende pia huwa inapona yenyewe but inahamia viungo vya ndani kama Moyo, ini n.k so ni Bora upate matibabu sahihi
 
Pamoja na kutilia mkazo juu ya wachangiaji kuacha masihara kwenye hili ila bado watu wanaleta masihara ni huzuni kwa kweli.
Kaka hawaelewii, naona tuna ma stress ya maisha na humu ndo sehem ya ku vent.. me nimeanza kusoma kwa u serious kabisa ila comment sasa zinachekesha utafanyaje, afya ya akili za wana jf ni kipengele πŸ˜‚

msaada kashapata , kwanza aende hospital first thing first

Ngoja na me nikazingue kwanza πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Pole sana mkuu,
Ukiingiza shimo lisilo safi matokeo yake ndio haya, hakuna msafi..ni bahati tu!

Ugonjwa kama huu usichelewe, nenda hospital usije haribu dyudyu.
 
Genital warts au genital herpes
 
But Huyo siyo govi doctor ametairiwa. Huo ugonjwa si unawapa zaidi magovi
 
Ina mana Lamomy mpaka muda huu hajafika hapa?
Shem nimefika πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huyo kwanza mchafu halafu hajipendi, hivi umeona huo mkucha wake wa dole gumba mrefu kwa ndani km kuna usaha.!! Ptyuuuu!!
Huyu itakuwa ndio wale wanaojifanya kila tundu wanapita sasa kakutana nacho yy awahi dose 🀣🀣🀣🀣
 
Syphilis aka kaswende nenda hospital kama hali haijawaha mbaya ni Syphilis....


Kama nimekosea basi genital wart .....virus.....ila kaswende hiloooo likichanganya linaenda mdomoni linasambaaaa
Genital warts haipo ivo.. Vipele vyake vidogo sana.. Hafu uyo hali ishakua mbaya.. Yaani apo akipiga bao vinatoka viusaa.. Hosp watamlaza uyu.. Kaisha..

Unauza mechi kizembe sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…