Msaada: Nimepatwa na tatizo hili kwenye tupu yangu, itakuwa ni ugonjwa gani?

Eti maji ya betri yale makali looh,.

Halafu aliyeanzisha hii habari ya kuwa maji ya betri yanatibu sijui nini nini inabidi akamatwe,. Maana kunae mtu huku kwetu aliambiwa ni dawa ya jino akatia meno yake yote sikuizi yanatoka toka tu bila mpangilio
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…