Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,090
- 13,511
Eheeee duh uyo denda ndo basi tena na mpe pole mmamaNi mama mtu mzima,. Around 50-60yrs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eheeee duh uyo denda ndo basi tena na mpe pole mmamaNi mama mtu mzima,. Around 50-60yrs
Serious me nawaambiaga watu dawa ya jino ni kung'oa tu,. Hizi dawa utatumia baada ya mda fulani maumivu yanarudi tena.Angeenda kung'oa shughuli ikaisha dawa ya jino kulitoa
Ndo maji ya betliiii (betri) 😂Dooh,.
Sema unajua kwenye maumivu mtu akisikia chochote kile ni dawa atataka ajaribu aone
Anazingua uyu dogoAchana na lee
Serious mkuu, Dawa ya jino ni kung'oaHapana sikupona mpaka nilipoamua kuling'a mwaka 2016 mpaka leo naishi kwa amani.
Mie niliwahi kunywa mkojo mkuu,. Waliniambia ni dawa ya tonsosi😃😂 ila niliponaNdo maji ya betliiii (betri) 😂
Aende hospitalSome sort of genital herpes na kaswende kwa mbaali inatibika ila
Mimi jino likizingua nachagua hospital yenye wataalamu naenda kutoa halafu naendelea na mishe zingineSerious me nawaambiaga watu dawa ya jino ni kung'oa tu,. Hizi dawa utatumia baada ya mda fulani maumivu yanarudi tena.
Au Bora ufanye ile wanaita sijui Root Canal kama hutaki kutoa
We binti unataka kuangalia nn!Binua kwanza hivi kidogo hapo kwenye kidole,. Nataka niangalie kitu
Kajipa kadi ya njano mwenyewe, sometime wanaume tunakuwaga vichwa ngumu kweli mkuuSome sort of genital herpes na kaswende kwa mbaali inatibika ila
🙄🙄🙄 duh sa tonses si kuja dawa zake ata za kienyeji mdogo wanguMie niliwahi kunywa mkojo mkuu,. Waliniambia ni dawa ya tonsosi😃😂 ila nilipona
Kipunye😅☝️😅Nini hiki?
Mkojo ulishawahi kunitibu ulcers ule wa asbh kabisaMie niliwahi kunywa mkojo mkuu,. Waliniambia ni dawa ya tonsosi😃😂 ila nilipona
Usijaribu tena hizo habari za kunywa mkojo utakuja kupata tatizo la Figo hutoamini yaani unakunywa sumu iliyotolewa wewe unaurudisha mwiliniMie niliwahi kunywa mkojo mkuu,. Waliniambia ni dawa ya tonsosi😃😂 ila nilipona
Mkojo si mbaya sana...ila maji ya betri hivi kweli unachukua unaweka akili zinakuwa ziko wapi, toka unafungua cap za betri mpaka mdomoni 😔Mie niliwahi kunywa mkojo mkuu,. Waliniambia ni dawa ya tonsosi😃😂 ila nilipona
Uko kama mimi mkuu,. Sipendu kero kuhangaika na kitu mwaka mzima siweziMimi jino likizingua nachagua hospital yenye wataalamu naenda kutoa halafu naendelea na mishe zingine