Mkuu kwanza ni kushukuru kwa mchango wako mzuri sana , kimsingi kunatatzo sehem kwenye namna ambavyo viongozi ngazi ya juu wanachukulia mambo! Huenda waamasai wasiwe sawa au wakawa wamevamia swali ambalo najiuliza ni je jamii hii ya watu masikini wanawezaje kuhamishwa tu? Je baada ya kuhamishwa ni nini faida yake?

Tufanye mfano, watu huhamishwa kupisha ujenzi, au mladi fulani wa kimaendeleo wenye tija na siha kubwa kwa taifa, mfano miundombinu n.k swali je hao wamaasai kuna faida ipi kama taifa tunaipata?

Jambo jingine ambalo naanza kuliamini hapo awali sikuwa nnaliamini ni juu ya eneo la ngorongoro kuuzwa kwa waarabu, nilijua ni uvumi na uzandiki tu lkn kwa hali nnayo iona kwa sasa mnaanza kuamini kubwa kuna kitu kinacho fanana au kuwa sawa na hicho! Kama ndivyo kweli! Basi kunahaja ya kujiuliza maswali mhim sana kwa taifa! Je tuna think tank nzuri ya taifa kwa ustawi wa vizazi vijavyo?

Tunaweza sasa tukauwana tukachomana tukafungana tukafanyiana mabaya na kila aina ya chuki ila tukumbuke hatuna taifa jingine linaloitwa Tanzania, wala hatuna ardhi nyingine ya kukimbilia, tujifunze kuitunza amani yetu kwa kuheshimiana na kuvumiliana bila kudhuliana...

Kama ni kweli waamsai wamehamishwa kwa sabb za EAU tunatatzo kubwa linakuja mbele, tena kubwa haswaa

B
 
9 September 2023
Ngorongoro, Tanzania

CHADEMA LEADERS AND LOCAL REPRESENTATIVES CLOSED THE ROAD AFTER THEY WERE PREVENTED FROM PROCEEDING TO NGORONGORO


View: https://m.youtube.com/watch?v=kVaDaJ-SS8IVideo showing Police armed to teeth, confronting CHADEMA leaders who were on their way to Ngorongoro to hold meetings with locals.

Recently the European Parliament delegates were prevented from going to Ngorongoro to see the real situation of human rights violations.
 
weanzao wanachukuliwa na police wao wanashanga eeboo.
harakati mfu hizi hakuna lolote la maana litafanyika kama jamaa ni waoga ivi 😳
 
Serikali iwapige mabomu ya machozi watafutane wanataka kutuharibia nchi yetu wengine hawakawii kukimbilia ubalozini na kusindikizwa kwenda kuungana na familia zao na kutuacha sisi hapa
Nyie 🌈 huwa mnajulikana hata kwa comments zenu.
 
Wanagawana majukumu,sasa ulitaka uongozi wote uwepo hapo... wengine wanaendelea na majukumu sehemu nyingine.Huu ukandamizaji,una mwisho.
 
Hili sakata limeendaje? Kuna mtu yupo karatu/loduware gate atujuze? Yaelekea kuna Siri kubwa sana huko ngorongoro 🤔
 
Chanzo | MMM
Your browser is not able to display this video.
 
Huyu amedhamiria kulipa kisasi cha damu yake kwa risasi alizolambwa kutaka damu ya Watanzania wengi imwagike. Ni wa kufinywa tu.

Huyu ni mwehu na taahira, hata sura yake inaonesha kuwa ni taahira.
Unaweza kuta wewe ni mzazi, very hopeless kabisa.
 
Nikisikia mtu anamsifia huyu mama na CCM yao nabaki kimya sana. Nchi hii lazima kuwepo na kujitoa.
 
UANE!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…