Msafara wa RC Paul Makonda ukitokea Uwanja wa Ndege wa Arusha Kuelekea katika ofisi yake kwa Makabidhiano

Msafara wa RC Paul Makonda ukitokea Uwanja wa Ndege wa Arusha Kuelekea katika ofisi yake kwa Makabidhiano

Huyu jamaa ni mshamba sana anapenda kujilinganisha na wakubwa wake kama PM, VP ama Rais.

Hana muda ataenda Kolomije kulima mahindi .
Kwani kajiandalia yeye huo msafara?

Huwenda wewe ndo mshamba!

JPM alianza kulindwa hata kabla ya yeye kufahamu kwamba Mkapa kampa ulinzi

Tutajuaje sisi...! Je kama naye Makonda keshaanza kulindwa kisiri siri??
 
Huyu jamaa ni mshamba sana anapenda kujilinganisha na wakubwa wake kama PM, VP ama Rais.

Hana muda ataenda Kolomije kulima mahindi .
Sisi ndiyo tunaumia kwa hicho na unachokiona anajilinganisha sijui na wakubwa wake kikazi.

Mimi sitashangaa hata akienda huko koromije kulima maana binadamu haujaambiwa fanya kazi hii hadi kufa ni maisha tu.

Ali Hapi unajua kashika nafasi ngapi hadi ya mwisho alipokuwa mkuu wa mkoa wa Mara, then akaenda wapi kufanya nini (siyo kulima) haya leo yuko wapi na ni nani?.

Maisha haya tusikaze shingo na husuda, yeye ndiye huyooo anawatumikia watz, sisi hapa ni full kurusha mawe kwake 😂!.
 
Makonda ameamua kutumia kila nafasi anayopata kuwa most popular politician Tanzania.

Ki Masihara Makonda anakuja kuwa Rais, na akiwa Makamu ujasiri wake anaweza kumpindua Rais kama Samia.

How Hitler got into power.
Weimar Republic wakati huo ilikuwa inapitia wakati mgumu wa kiuchumi na nchi yao ilikuwa inatumia mikopo ya Marekani kulipa madeni na Hasara ya vita ya Kwanza ya dunia, Hali ya Maisha ikawa ngumu sana, Wajerumani wakawa wanataka viongozi walio upande wa Wananchi na wenye msimamo na Ujasiri and ghafla bin vuu Hitler akawa Chancellor and then Rais akafa yeye Ndio akawa Kiongozi mkuu wa Ujerumani

Chadema wanamiss a key point hapa, Wananchi hawaipigii kura Chadema sababu haiwapendi viongozi wa CCM au sababu inawatukana, inawapigia sababu wanaona viongozi wa CCM hawako upande wao, Makonda anajua kuwa karibu na watu na kuwagusa, Chadema watashtua asubuhi kama hawatajifunza kitu.

Na CCM itashtuka Makonda ni Popular kama Lowassa na Mrema, and sio kila wakati watakuwa wanaponea chupu chupu
 
nini faida ya hivi vitu, mbona Chongolo ashakuwa hadi SG lakini hawezi kufanya huko Songwe!
 
la Tanzania ni nchi yenye watu wenye mentality za kitumwa ambao wapo tayari kurudi utumeani, halafu wadai uhuru na kuikabidhi tena nchi kwa CCM
Tumeshakabidhiwa kwa waarabu na tayari kuna mtaala mpya wa kufundishwa kiarabu unaanza kutumika soon
 
Kutoka Kia mpaka Arusha hakuna eneo lenye muonekano huo labla kama walipitia kufanya utalii wa ndani.

Ntakuwa wa mwisho kuamini.
Airport ya Arusha ipo Kisongo karibu na gereza kuu la Arusha pale Kisongo siyo KIA.
Na ndiyo uwanja ulio onekana wakati Makonda anashuka kwenye ndege.
Wanao ufahamu huo uwanja wanaweza kuja kuthibitisha nisemacho.
Nadhani miti inayo onekana ni jirani na uwanja unaelekea mjini pale kwenye shamba la kahawa kabla ya Majengo, kabla ya Mbauda.
 
Makonda! Makonda !Makonda hatq angepewa uwenyekiti wa mtaa huu mtaa ungekuwa maarufu tu

Chapa kazi baba usisikilize maneno ya waja
 
pole yao wote , ujana maji ya moto, ipo siku atanza kujuta kusema laiti ningelijua kujifunxa hekhma.
No please vyeo viheshimiwe mkuu wa mkoa ni kiongozi wa majeshi yote mkoani mwake na mkuu wa wilaya vivyo hivyo hao wengine hawajielewi ndio maana sasa hivi kumeibuka tendency ya kuona wakuu wa mikoa na wilaya kama tu watu wa kawaida tu kama watu wa mitaani tu

Makonda anarudisha heshima ya ukuu wa mkoa kuwa usichukuliwe kama cheo kisicho na maana yeyoye

Wakuu wa mikoa kama walikishusha h8cho cheo kuwa kionekane cha kawaida.Makonda anakirudisha kwenye hadhi yake kama enzi za akina Nyerere

Kuwa mkuu wa mkoa raisi wa mkoa akipita sehemu watu wote wanatakiwa kujua mkuu wa mkoa anapita raisi wa mkoa mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama vilivyoko kwenye mkoa

Ukuu wa mkoa ulishaanza kudharaulika sana Makonda anaurudishia heshima yake unapostahili kuwa
 
No please vyeo viheshimiwe mkuu wa mkoa ni kiongozi wa majeshi yote mkoani mwake na mkuu wa wilaya vivyo hivyo hao wengine hawajielewi ndio maana sasa hivi kumeibuka tendency ya kuona wakuu wa mikoa na wilaya kama tu watu wa kawaida tu kama watu wa mitaani tu

Makonda anarudisha heshima ya ukuu wa mkoa kuwa usichukuliwe kama cheo kisicho na maana yeyoye

Wakuu wa mikoa kama walikishusha h8cho cheo kuwa kionekane cha kawaida.Makonda anakirudisha kwenye hadhi yake kama enzi za akina Nyerere

Kuwa mkuu wa mkoa raisi wa mkoa akipita sehemu watu wote wanatakiwa kujua mkuu wa mkoa anapita raisi wa mkoa mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama vilivyoko kwenye mkoa

Ukuu wa mkoa ulishaanza kudharaulika sana Makonda anaurudishia heshima yake unapostahili kuwa
Walioudharaulisha ni wakuu wa mkoa waliopita?
Waliouheshimisha ni wakuu wa mikoa waliopita?
Sasa , mikoa 29 iliyobaki ambaye Makonda si Rc inadharaulika?
 
Walioudharaulisha ni wakuu wa mkoa waliopita?
Waliouheshimisha ni wakuu wa mikoa waliopita?
Sasa , mikoa 29 iliyobaki ambaye Makonda si Rc inadharaulika?
Chadema mfano hadi walifikia kuona wakuu wa mikoa hata hawana maana yeyote

Makonda kaamua kuonyesha kuwa cheo cha ukuu wa mkoa sio cheo kidogo

Wananchi wakiskia mkuu wa mkoa anapita sehemu lazima heshima iwepo wajipange hata mabarabarani kumpokea mkuu wa mkoa Raisi wa mkoa

Makonda anarudisha hadhi ya ukuu wa mkoa ambayo ilipotea hapo nyuma
 
Chadema mfano hadi walifikia kuona wakuu wa mikoa hata hawana maana yeyote

Makonda kaamua kuonyesha kuwa cheo cha ukuu wa mkoa sio cheo kidogo

Wananchi wakiskia mkuu wa mkoa anapita sehemu lazima heshima iwepo wajipange hata mabarabarani kumpokea mkuu wa mkoa Raisi wa mkoa

Makonda anarudisha hadhi ya ukuu wa mkoa ambayo ilipotea hapo nyuma
Heshima haitafutwi inakuja yenyewe.
Mwijaku amelipiwa ndege na hoteli kwenda kumtafutia mtu heshma huko Mecca, upuuzi mtupu!
Ukiona mtu anasema kuhusu hesham jua han heshma yeyote.
Obama alijizolea heshma dunia nzima, kila raisi alitamani kwenda US kukutana naye na wengi walikosa fursa hiyo, hakutfuta heshma ila matendo yake yalimuheshimisha!

Usitaka kutuletea utawala wa kikoloni wa Uingereza kipindi cha Area Commisioner hao walikuwa miungu watu wakiripoti kwa Malkia ila kwa sas ani "kama kajambanane, wengi ni waongo, walevi, waropokaji" hiyo heshma iyitatoka wapi?

Yule aliyesema kaonge a na Magufuli wakati mtu yupo Mawinguni unamuheshimu vipi?
aliyesema Wanajeshi wadeki barabara bada ya kuskia maandamano ya Chadema unamuweka kundi gani ?
aliyesema uchumi umekuwa wakayi hali mbaya unamuelewaje?
Mpaka Mheshiwa mpendwa wetu Rais Samia alimwambia "sasa ukue" means ana utoto!
 
Back
Top Bottom